Kitu kama hujui ni bora kukaa kimya kuliko kujiaibisha,
Huko Israel hatua gani za ndani zilichukuliwa kuhusu genocide aliyoifanya Natanyahu Gaza mpaka ICC ndio wakatoa Arrest warrant?
Kwahiyo unakubali kua Dunia haina usawa sio?ICC ipo kwa ajili ya kuwanyoosha viongozi weusi
Acha kuhamisha magoli,najua umesha ona kosa lako tayari,Umeelewa concept? Au unakurupuka tu kijana, unachoongea ni nini na mimi nimeandika nini? Unataka desa? Wabongo kukariri ndo maisha yetu
Hivi nyie watu wengine ni mafala ee?!! Au chuki kwa Samia na mapenzi kwa lissu yanawafanya muwe vipofu?!!! Hivi maangamizi Yale ya vituo vya polisi na polisi wenyewe, Mali za watu, taasisi za serikali, kujeruhi/kuua watu wasiokuwa wafuasi wa chama flani, kuharibu Mali za watu wasiokuwa wafuasi wa chama flani yangezuiwa vp?!! Wasn't that an act of war?!!!! Baada ya masaa saba, nani angethubutu kumkamata yeyote maana nchi ingekuwa yote inawaka moto.Hata muwape na katiba ya chumbani kwenu hamna justification ya kuua raia, hata kama wamefanya uhalifu gani, mna mahakama za nini sasa? Mamaduro atakwenda tu endeleeni kuimba mapambio chawa. Haki ya kutoa roho ni ya Mungu tu sio yeyote
Umemfahamisha vizuri sana na umempa mifano mizuri sana ila sidhani kama atakuelewa coz anaonekana amesha jikoki kubishana zaidi badala ya kujadili hoja.Inawezekana ukawa sahihi; lakini kuna mifano mingi tu ya hao hao ICC kuchukua hatua za kuchunguza bila kujali mengine yanayoendelea.
Hapo Kenya; hawakusubiri kuona hatua za ndani zinaendeshwa vipi. Hata kule Liberia kwa Charles Taylor hawakungoja taratibu za ndani. Ma'war Lords' hapo DRC chungu nzima wamefikishwa kwenye mahakama hiyo bila ya mizunguko yoyote.
Hapa Tanzania, hiyo ICC hata kunyanyua kidole tu na kusema chochote hakuna?
Hata huko kusema tu kuwa wamepokea taarifa juu ya swala hilo; na hata kueleza tu kwamba watasubiri kwa sababu hizo ulizoeleza. Wamekaa kimya tu, kana kwamba hakuna lililotokea?
Tulisema tokea mwanzo, haya maswala ni yetu wenyewe. Ni wajibu wetu kujipanga na kuyamaliza wenyewe.
Chini ya nchi hii hakuna kisichowezekana, kama nia ya kutekeleza ipo.
Tuachane na hizi tabia za utegemezi kwa kila jambo.
Hivi nyie watu wengine ni mafala ee?!! Au chuki kwa Samia na mapenzi kwa lissu yanawafanya muwe vipofu?!!! Hivi maangamizi Yale ya vituo vya polisi na polisi wenyewe, Mali za watu, taasisi za serikali, kujeruhi/kuua watu wasiokuwa wafuasi wa chama flani, kuharibu Mali za watu wasiokuwa wafuasi wa chama flani yangezuiwa vp?!! Wasn't that an act of war?!!!! Baada ya masaa saba, nani angethubutu kumkamata yeyote maana nchi ingekuwa yote inawaka moto.
Au, type mbinu mkuu za kukabiliana na Hali kama ile yenye kuleta matokeo unayoyasema.
Haters wa Samia katika hapa na pale ya kujifariji๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Mmesikia bank ya Dunia inamwaga mahela huko?!!!!!!! Haya, nyie kaeni vibarazani hapo mkipiga umbea mwishowe waume zenu warudi wakute hakuna maji yoyote ya moto mliyoyaweka kwa ajili ya kuoga.
Dunia nzima? Ipi? Acheni kujipa umaarufu msiokuwa nao. Labda ongekeeni UCC ya Kantalamba huko
Kumbe unamuongelea mtu ambaye simfahamu Mamaduro, sawaHata muwape na katiba ya chumbani kwenu hamna justification ya kuua raia, hata kama wamefanya uhalifu gani, mna mahakama za nini sasa? Mamaduro atakwenda tu endeleeni kuimba mapambio chawa. Haki ya kutoa roho ni ya Mungu tu sio yeyote
Sasa wanasubiri nini? Yaani ule utumbo wa Maria Sarungi na Mange Kimambi walioukusanya na kumpa Larry Madowo ndiyo ushahidi wenu?? My footHata muwape na katiba ya chumbani kwenu hamna justification ya kuua raia, hata kama wamefanya uhalifu gani, mna mahakama za nini sasa? Mamaduro atakwenda tu endeleeni kuimba mapambio chawa. Haki ya kutoa roho ni ya Mungu tu sio yeyote
Kwani unadhani mimi ni mgeni na Rome Statute?? Au unadhani ni wewe tu unaisoma? Hilo desa kampe mvuta bangi HecheDunia maana yake global elites sio na kenge wa huko lingusenguse kijana muwe mnaelewa concepts japo sina madesa ya kuwagawia najua wabongo ni lowest IQ ila sikujua ni kwa kiwango gani naendelea kujifunza
Your guesswork is most likely to be trueUnafikiri kwa nini wanashindwa kutoa report yao? Mashaka makubwa ni hii kitu kwa sababu ICC inataka kujua kwanza efforts za ndani zimefanya nini na kama hatua zinaendana na tukio lenyewe! Wanapambana kuipika kwa kuwa ndio itaactivate hatua zaidi kimataifa either positive au negative, so wanasoma na kuirudiarudia kila wakicheck wanaona mamaduro anasongeshwa so wanarudia kuipika tena na tena ili wamuokoe. Huo muda unaoongezwa mara kwa mara ni kwa ajili ya kuedit ila ndo moja haikai na mbili haikai
Kifupi dunia nzima imekaa macho kusubiri huu mzigo!
My friend, is your brain pregnant?!!!!!ICC haideal na matofali, vituo vya daladala wala majengo ya sisiemu, inadeal na wauaji wa raia na wahalifu wa kivita, hiyo ya mali za watu mtadeal nayo nyie haiwahusu
Sijui hata unajua unachoongea.Sasa hela za mikopo si zinamuhusu mamaduro na mafisadi wenzie? Sisi kenge tuziongelee za nini? Tunaongelea damu za vijana wasio na hatia zilizomwagwa vyumbani mwao baaaaasi!
Tunasubiri cag wenu miaka ijayo atakuja kusema hata hizo mlikula na nani, mbeba mikoba wa mama kaingizwa mjengoni probably kwa sababu huu mzigo unakuja, atakua keshaweka order za Lambo zamu hii naona
My friend, is your brain pregnant?!!!!!
Mtaelewa tu endeleeni kula fweza za mamaduro mwisho wa siku kitaeleweka tu hamna harakaKwani unadhani mimi ni mgeni na Rome Statute?? Au unadhani ni wewe tu unaisoma? Hilo desa kampe mvuta bangi Heche
They wanted to do something, but we drifted from them as usual.Naona kimya as if nothing had happened in TANGANYIKA
Waliorusha risasi si walitekeleza amri iliyotolewa na Samia mwenyewe tena hadharani na mchana kweupe? Anapata wapi tena ujasiri wa kuwawajibisha waliotekeleza amri mbaya ya amri jeshi mkuu? ๐คHapo Nina mrejea amiri jeshi mkuu ambaye kimsingi anajua Nini kilitokea. Najiuliza kwa Nini hachukui hatua? Haiwezekani nchi unayo isimamia kutokea umwagikaji damu na isichukuliwe hatua yoyote isipokuwa tu kwa vijana wadogo walipokuwa wanaandamana. Kwanini anakuwa mzito dhidi ya walio rusha risasi