Jaman wataalamu kuna mtu kaniuzia monitor ya IBM Flat Screen.Haina CABLE HATA MOJA.Nauliza JE inatumia cable za aina moja na monitor za aina nyingine au cable zake ni tofauti?vp IBM MONITOR zinadumu?
Nawasilisha ndugu wataalam.
Ukiona kimya ujue maswali yako hayana mashiko!
Ni kebo zipi unazoulizia? Za power, za vga ama? Wewe ukichungulia kwenye hiyo monitor unaona hayo "matundu" yanatofautiana na monitor uliyokuwa unatumia zamani? Wakati mnauziana hamjafanya "testing"?
Chukulia kama unanunua simu ya mkononi ni vitu gani ungependa kuconfirm kwanza kabla ya kulipa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.