Kamati ya
Uteuzi
182.-(1) Kutakuwa na Kamati ya Uteuzi wa Mwenyekiti,
Makamu Mwenyekiti na Wajumbe wa Tume Huru ya Uchaguzi
itakayokuwa na muundo ufuatao:
(a) Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano ambaye atakuwa ni
Mwenyekiti;
(b) Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano ambaye
atakuwa Makamu Mwenyekiti;
(c) Spika wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar;
(d) Spika wa Bunge la Tanzania Bara;
(e) Jaji Mkuu wa Tanzania Bara;
(f) Jaji Mkuu wa Zanzibar; na
(g) Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu.
(2) Mkurugenzi wa Tume Huru ya Uchaguzi atakuwa Katibu wa
Kwa matakwa hayo 2015 hapatakuwepo na tume huru ya uchaguzi
Uteuzi
182.-(1) Kutakuwa na Kamati ya Uteuzi wa Mwenyekiti,
Makamu Mwenyekiti na Wajumbe wa Tume Huru ya Uchaguzi
itakayokuwa na muundo ufuatao:
(a) Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano ambaye atakuwa ni
Mwenyekiti;
(b) Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano ambaye
atakuwa Makamu Mwenyekiti;
(c) Spika wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar;
(d) Spika wa Bunge la Tanzania Bara;
(e) Jaji Mkuu wa Tanzania Bara;
(f) Jaji Mkuu wa Zanzibar; na
(g) Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu.
(2) Mkurugenzi wa Tume Huru ya Uchaguzi atakuwa Katibu wa
Kwa matakwa hayo 2015 hapatakuwepo na tume huru ya uchaguzi