Ibada ya kuomba na kumshukuru Mungu kwa kutuvusha salama uchaguzi mkuu 2015

kichema

Senior Member
Mar 31, 2015
137
39
IBADA YA KUOMBA NA KUMSHUKURU MWENYEZI MUNGU KWA KUTUVUSHA SALAMA UCHAGUZI MKUU 2015

Wana JF.
Mungu ni mwema siku zote. Nina uhakika kila mmoja wetu amejionea mwenyewe kilichojili uchaguzi huu. Mpaka Viongozi wa dini fulani wanadiliki kunena "NATEKA KILIMANJARO, NATEKA ARUSHA, NATEKA BUKOBA, NATEKA MWANZA, NATEKA RUKWA,...NATEKA...Bruburu....u"
Ahaaa jamani Mungu ametuokoa kutoka mikono ya watekaji.
SASA BASI:
Naomba viongozi wa dini zote bila kujali itikadi zetu za kisiasa na kidini. Waitishe ibada mahalumu ya kuomba na kumshukuru Mungu kwa kuweza kutenda na kuokoa taifa hili lisizame. Hama kweli tumesalimika kutoka kwenye mdomo wa Mamba. Tumeokoka kutoka kwenye kile KIPETE. Tunahitaji maombi na dua mahalumu. Mh. Sana Shehe Mkuu wa Dar es Salaam, Baba Askofu Kardinal Pengo, Mahaskofu wa madheebu yote mahali mlipo Mh. Askofu Malasusa, natoa wito njoo mliombee Taifa na tumshukuru Mungu kwa kutunusuru kwenye mdomo wa mamba Itisha ibada mahalum viwanja vya Jangwani au Uwanja wa Taifa nasi tutaitikia wito.Ingependeza kama ingafanyika kabla ya kuapishwa Mh. John Pombe Magufuri.
Tuite nasi tutaitika.
Naomba kuwasilisha.
Mungu ni mwema na anatulinda siku zote.
Amen
 
IBADA YA KUOMBA NA KUMSHUKURU MWENYEZI MUNGU KWA KUTUVUSHA SALAMA UCHAGUZI MKUU 2015

Wana JF.
Mungu ni mwema siku zote. Nina uhakika kila mmoja wetu amejionea mwenyewe kilichojili uchaguzi huu. Mpaka Viongozi wa dini fulani wanadiliki kunena "NATEKA KILIMANJARO, NATEKA ARUSHA, NATEKA BUKOBA, NATEKA MWANZA, NATEKA RUKWA,...NATEKA...Bruburu....u"
Ahaaa jamani Mungu ametuokoa kutoka mikono ya watekaji.
SASA BASI:
Naomba viongozi wa dini zote bila kujali itikadi zetu za kisiasa na kidini. Waitishe ibada mahalumu ya kuomba na kumshukuru Mungu kwa kuweza kutenda na kuokoa taifa hili lisizame. Hama kweli tumesalimika kutoka kwenye mdomo wa Mamba. Tumeokoka kutoka kwenye kile KIPETE. Tunahitaji maombi na dua mahalumu. Mh. Sana Shehe Mkuu wa Dar es Salaam, Baba Askofu Kardinal Pengo, Mahaskofu wa madheebu yote mahali mlipo Mh. Askofu Malasusa, natoa wito njoo mliombee Taifa na tumshukuru Mungu kwa kutunusuru kwenye mdomo wa mamba Itisha ibada mahalum viwanja vya Jangwani au Uwanja wa Taifa nasi tutaitikia wito.Ingependeza kama ingafanyika kabla ya kuapishwa Mh. John Pombe Magufuri.
Tuite nasi tutaitika.
Naomba kuwasilisha.
Mungu ni mwema na anatulinda siku zote.
Amen

hapana amani kwa wabaya [ Isaya 57:21]
 
IBADA YA KUOMBA NA KUMSHUKURU MWENYEZI MUNGU KWA KUTUVUSHA SALAMA UCHAGUZI MKUU 2015

Wana JF.
Mungu ni mwema siku zote. Nina uhakika kila mmoja wetu amejionea mwenyewe kilichojili uchaguzi huu. Mpaka Viongozi wa dini fulani wanadiliki kunena "NATEKA KILIMANJARO, NATEKA ARUSHA, NATEKA BUKOBA, NATEKA MWANZA, NATEKA RUKWA,...NATEKA...Bruburu....u"
Ahaaa jamani Mungu ametuokoa kutoka mikono ya watekaji.
SASA BASI:
Naomba viongozi wa dini zote bila kujali itikadi zetu za kisiasa na kidini. Waitishe ibada mahalumu ya kuomba na kumshukuru Mungu kwa kuweza kutenda na kuokoa taifa hili lisizame. Hama kweli tumesalimika kutoka kwenye mdomo wa Mamba. Tumeokoka kutoka kwenye kile KIPETE. Tunahitaji maombi na dua mahalumu. Mh. Sana Shehe Mkuu wa Dar es Salaam, Baba Askofu Kardinal Pengo, Mahaskofu wa madheebu yote mahali mlipo Mh. Askofu Malasusa, natoa wito njoo mliombee Taifa na tumshukuru Mungu kwa kutunusuru kwenye mdomo wa mamba Itisha ibada mahalum viwanja vya Jangwani au Uwanja wa Taifa nasi tutaitikia wito.Ingependeza kama ingafanyika kabla ya kuapishwa Mh. John Pombe Magufuri.
Tuite nasi tutaitika.
Naomba kuwasilisha.
Mungu ni mwema na anatulinda siku zote.
Amen
Ukanda ndio unakusumbua. Eti mahaskofu....mahalumu
 
Mi nilijua uchaguzi utaisha salama tu maana watanzania kwa nature yetu ni waoga harafu hatupendi vurugu tunapendana sana,ni jambo zuri tu
 
IBADA YA KUOMBA NA KUMSHUKURU MWENYEZI MUNGU KWA KUTUVUSHA SALAMA UCHAGUZI MKUU 2015

Wana JF.
Mungu ni mwema siku zote. Nina uhakika kila mmoja wetu amejionea mwenyewe kilichojili uchaguzi huu. Mpaka Viongozi wa dini fulani wanadiliki kunena "NATEKA KILIMANJARO, NATEKA ARUSHA, NATEKA BUKOBA, NATEKA MWANZA, NATEKA RUKWA,...NATEKA...Bruburu....u"
Ahaaa jamani Mungu ametuokoa kutoka mikono ya watekaji.
SASA BASI:
Naomba viongozi wa dini zote bila kujali itikadi zetu za kisiasa na kidini. Waitishe ibada mahalumu ya kuomba na kumshukuru Mungu kwa kuweza kutenda na kuokoa taifa hili lisizame. Hama kweli tumesalimika kutoka kwenye mdomo wa Mamba. Tumeokoka kutoka kwenye kile KIPETE. Tunahitaji maombi na dua mahalumu. Mh. Sana Shehe Mkuu wa Dar es Salaam, Baba Askofu Kardinal Pengo, Mahaskofu wa madheebu yote mahali mlipo Mh. Askofu Malasusa, natoa wito njoo mliombee Taifa na tumshukuru Mungu kwa kutunusuru kwenye mdomo wa mamba Itisha ibada mahalum viwanja vya Jangwani au Uwanja wa Taifa nasi tutaitikia wito.Ingependeza kama ingafanyika kabla ya kuapishwa Mh. John Pombe Magufuri.
Tuite nasi tutaitika.
Naomba kuwasilisha.
Mungu ni mwema na anatulinda siku zote.
Amen
Wa kupongezwa ni aliyejaza polisi na washawasha barabarani
 
Bado hatujavuka
It is true.

Ngoma huko Zanzibar bado mbichi kabisa, baada ya maccm kuona wameshindwa uchaguzi huo 'walimuamrisha' Jecha aufute uchaguzi huo.

Naye bila kuangalia kama ana uwezo huo kikatiba akaingia kichwa kichwa na kujitamkia kuwa eti kaufuta uchaguzi huo.

Kwa hivi sasa tayari hiyo Zenj inapewa shinikizo kubwa toka ndani ya nchi na jumuiya za kimataifa wamtangaze aliyeshinda uchaguzi huo.
 
Tuombe tupate katiba mpya chaguzi zipite kwa amani na haki.
It is very true.

Bila kupata katiba mpya itakayotokana na maoni ya wananchi na isiwe katiba mpya inayotokana na maoni ya watawala, basi kamwe tusitegemee kupata uchaguzi huru na wa haki na tutarajie pia kuwa hata kama itatokea watanzania wa nchi nzima watafoleni kwenye vituo vya kupiga kura na kupiga kura kwa kuikataa CCM bado Tume zetu za uchaguzi zitaendelea kuitangaza CCM kuwa imeshinda chaguzi hizo, kwa kuwa Tume hizo zimejipa uwezo wa kiMungu kuwa mara tu wanapomtangaza mshindi wa kiti cha Rais, hakuna chombo chochote cha kisheria hapa duniani kitakachoweza kuhoji uhalali wa matokeo hayo!
 
Mbona umechangia? By the way bado hatujavuka salama, ila tuendelee kuomba tuvuke salama. Kama ijulikanavyo, hadi sasa mabomu matatu ya kienyeji yamelipuka Zanzibar
Jamani nimefurahi sana kwa kusikia wito wetu.
Naona viongozi wa dini zote wamekusanyika na Makamu wa Rais Mh. Samia Suluhu Hassan ametoa hotuba ambayo imeniguza sana jinsi alivyoanza. Namnukuhu.."Ndugu viongozi wa dini zote, na umma wa Watanzania. Najisikia furaha sana, kwani hotuba yangu ya kwanza kuhutubia Umma kama Makamu wa Rais nimeanza kwa kumshukuru Mungu. Ni kweli na ni furaha kwani Mungu ndo muweza ya yote na ndo ametufikisha hapa tulipo...."
 
Back
Top Bottom