Ibada popote! New york taxi driver

Ibada popote! New york taxi driver

Kaduguda

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2008
Posts
724
Reaction score
642
Ibada ni mahali popote. Huyu driver yeye aliamua kutumia kifaa chake!

NEW-YORK-CITY-TAXI-DRIVER-PRAYING-ON-TAXI.jpg


muslim-praying-on-cab-e1410559432787.jpg
 
Hapo hapati dhawabu yoyote ile huyo ni MNAFIKI tu,anafanya hivyo ili aonekane kuwa yeye ni swala tano wakati hakuna kitu hapo ni UNAFIKI tu.
Mwenyezimungu amuongoze adumu ktk khayrat na azidi kuifuata na amuepushe na batwil zote-AMIN
 
Miqafir utaijuwa tu!

panyarodi;
Hivi nilielewa vibaya Swala au? Si tuliambiwa tuelekee Quibla?? Hapo juu ya taxi alijuaje Quibla ipo wapi? Si angetafuta masjid haraka tu? Hao ndo wale tuliambiwa ni Wana.fi.kiii.
Usifanye hivyooo. Jiulize, alitawadha??? Usikimbilie tu uqafir
 
Akitoka hapo anakwenda kulipua watu wengine kwa mabomu! Dini ya giza tu hii!
 
panyarodi;
Hivi nilielewa vibaya Swala au? Si tuliambiwa tuelekee Quibla?? Hapo juu ya taxi alijuaje Quibla ipo wapi? Si angetafuta masjid haraka tu? Hao ndo wale tuliambiwa ni Wana.fi.kiii.
Usifanye hivyooo. Jiulize, alitawadha??? Usikimbilie tu uqafir

Muislamu yoyote anayeijuwa dini kwa kufuata mafundisho na matendo ya Mtume wetu Muhammad ni lazima aijuwe ilipo Qibla.
 
Mnafiki utamjua tu kwa matendo yake ya kinafiki yaani anafanya mambo ili aonekane na wanadamu hana aibu huyo MNAFIKI.
Hapo umeuonaje unafiki wakati mwanadamu mwenzako anazungumza na Mungu wake?
 
Back
Top Bottom