Iam looking for a serious boyfriend!


Nimekuelewa matola
 
Im here to fully provide you with lots of love and cares.You have all my time kama kweli uko na nia tuanze na p.m.Mind you, its strictly mapenzi maswala ya hela ondoa kabisa kichwani cindy mopao
Kwahiyo pesa tutowe sisi mapenzi upewe wewe? hii mpya hivi mpenzi wako unategemea apewe support na nani?
 

Kama bado ni pm
 
If you're a really Christian [pata ushauri kutoka Kwa Shangazi,Bibi, Mama mdogo + kiongozi Wa Dini unayo abudu] utapata soln ya uhakika.
 
hahahahah Matola kila mtu si ana baba yake kaka, sasa kwa nini nijibebeshe jukumu lisilo langu? Mi ntampa kile ambacho baba anashindwa kumpatia kama hitaji muhimu kwake.
 
Last edited by a moderator:
mimi ninasifa zote ila sina cheti cha kuzaliwa nitafanye utakapohitaji uthibitisho?
 


Something wrong with you.?
 

Even myself I was wonderin (age, 20-24)!!! Mmmh
 
Peleka kitobo chako huko, wife material huwa hawajisemi, ila huonekana na jamii.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…