Waungwana kuna jamaa yangu nlimuombea vyuo(vyote alipata)kimojawapo ni chuo hiki sasa kilichelew kutoa majina ya first round wakasema watayaambatanisha na ya second selection cha ajabu majina yametoka na jina lake halipo na ukiwapigia cm wanasema kashakuwa admitted ktk chuo kingine na wakati hakukomfirm kokote until now eti wanamwambia akomfirm kimoja kisha akaombe uhamisho ahamie iaa