Kaka Mpendwa
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 772
- 415
nitakuPM kwa maelezo zaidi.
nitashukuru..maana inawezekana ni jirani yangu!! lol
nitakuPM kwa maelezo zaidi.
Inabidi tuendelee kufundishana maana hata siku zinavyoenda mambo yanabadilika!Wengi waliangalia kwa macho wakadanganyika!Thnx nwy!Kitu mapenzi kilianza zamani sana na pia mpaka leo bado tunafundishana namna ya kukienzi na bado hatupati solution, nafikiri huna sababu ya kusubiri miaka miwili au miezi sita cause once you set your eyes on him/her you'll always knows he/she is the one huna haja tena ya kusubiri na kuangalia alama za nyakati kila kitu kitakuja tu.
kuna watu wakali katika timing. pale ambapo mrembo guard yake
ipo chini wao ndio wanastrike lol watu wa aina hii inabidi mabinti
wamuombe mola siku zote awaepushe nao.
LIZZY mapenzi ni kitu kingine bana,unadhani kuna mwanamke anapenda kuwa open straight away kwa mwanaume???no bali akishapewa matumani na maneno matamu basi ndio inakuwaga hivyo......ila sio wanaume wote tupo hivyo....
Inaitwa "thinking on behalf of someone hiyo...." nimeipenda hii thread....mtu akishikwa tu katumbuka.....tuwe tunatulia kidogo....wengine tunaonyesha mapenzi bila hata kujijua.....l.o.l
hahahah mwanaume ni SIMBAA!!! Wewe mtu alijifanya mgum,jamaa akapeleka tipa la mchanga hme kwa mwanamke,cku inayofuata mafnd wakanza ukarabat wanamke akaona kapata na chup akavua,mwez kuiisha mapenz yakaenda likizo. Wanaumeeeeeeeeeeeeeeeeeee??????????????
Mm bdo mdogo ntatangaza na mm nikikua mana hum ndo kila kituDuh!Ni wewe nini?
He yamekua hayo tens???????????????Haya kasome achana na JF!