Tatizo la kuigaiga mambo wakati hata hawajui umuhimu. hivi ccm mafisadi/majambazi kweli walikuwa serious kwenye hili?? i doubt, nadhani ni kiherehere na kuwashwa kwa ZUZU nape ndo kulipelekea kukurupukia jambo ambalo chama chake hakilihitaji. it was a MERE SHOW OFF.
Tuendeleeni kuwaelimisha watanzania, waelimike ili waling'oe madarakani hili li-serikali la ccm MAONGO/MAFISADI/MAJAMBAZI/WAUAJI.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.