I want him badly

I want him badly

Aunty kemmy

Member
Joined
Dec 13, 2013
Posts
46
Reaction score
23
Naomben ushaur wana MMU...kuna kaka nilisoma nae shule moja yeye alikuwa a-level mim nipo o-level..hakuwai kuonesha dalili ya kunipenda kabisa wala hatukuzoeana...sasa nikaja kumeet nae accidentally town baada ya miaka km mitano..akaniomba no yangu nikampa tukawa tunawasiliana kama marafik mara yy akaenda nje kusoma kwaiyo mawasiliano yakakatika..baada ya miaka miwil akarud akanitafuta facebuk akaniomba tena my no nkampa tukaendeleza communication. Sasa ndo akaniambia ananitaka and he asked me if i date someone nkamwambia ndio kuna mtu namdate lakin sio kwel nilimdanganya tu cna mtu ninayemdate kwa sasa..basi kaka wa watu akapunguza communications kabisa sio kama mwanzo..tatizo linakuja kwamba ss hv najisikia kumpenda sana na najuta kumjibu kuwa nina mtu wakat sio kwel...nishaurin nifanyeje ili nimpate maana nampenda kwel sasa..
 
Naomben ushaur wana MMU...kuna kaka nilisoma nae shule moja yeye alikuwa a-level mim nipo o-level..hakuwai kuonesha dalili ya kunipenda kabisa wala hatukuzoeana...sasa nikaja kumeet nae accidentally town baada ya miaka km mitano..akaniomba no yangu nikampa tukawa tunawasiliana kama marafik mara yy akaenda nje kusoma kwaiyo mawasiliano yakakatika..baada ya miaka miwil akarud akanitafuta facebuk akaniomba tena my no nkampa tukaendeleza communication. Sasa ndo akaniambia ananitaka and he asked me if i date someone nkamwambia ndio kuna mtu namdate lakin sio kwel nilimdanganya tu cna mtu ninayemdate kwa sasa..basi kaka wa watu akapunguza communications kabisa sio kama mwanzo..tatizo linakuja kwamba ss hv najisikia kumpenda sana na najuta kumjibu kuwa nina mtu wakat sio kwel...nishaurin nifanyeje ili nimpate maana nampenda kwel sasa..

Mmh aunty kemmy hukuwa na sababu ya kusema uongo,may be ni kwasababu huku-mfeel mwanzoni....ila waweza mtafuta na kumfungukia ya moyoni. Just do it if u want it..
 
Mmh! Na hilo nalo lakupewa ushauri? mweh!
 
Naomben ushaur wana MMU...kuna kaka nilisoma nae shule moja yeye alikuwa a-level mim nipo o-level..hakuwai kuonesha dalili ya kunipenda kabisa wala hatukuzoeana...sasa nikaja kumeet nae accidentally town baada ya miaka km mitano..akaniomba no yangu nikampa tukawa tunawasiliana kama marafik mara yy akaenda nje kusoma kwaiyo mawasiliano yakakatika..baada ya miaka miwil akarud akanitafuta facebuk akaniomba tena my no nkampa tukaendeleza communication. Sasa ndo akaniambia ananitaka and he asked me if i date someone nkamwambia ndio kuna mtu namdate lakin sio kwel nilimdanganya tu cna mtu ninayemdate kwa sasa..basi kaka wa watu akapunguza communications kabisa sio kama mwanzo..tatizo linakuja kwamba ss hv najisikia kumpenda sana na najuta kumjibu kuwa nina mtu wakat sio kwel...nishaurin nifanyeje ili nimpate maana nampenda kwel sasa..


Kwanza pole sana maana bahati haiji mara mbili, umechezea shillingi kwenye shimo la choo. Biblia husema Mwanamke -------- hubomoa nyumba kwa mikono yake mwenyewe, sasa tukushauri nini?
 
kumbe..ukirudi nae anakuambia anadate na mtu, so ishakula kwako..yaan UMEDODA na maringo yako..btw jaribu kusimamisha gari kwa nyuma anaweza kukuona kwa side mirror akasimama
 
Nenda kaungame!!

hakika umtenda dhambi ya kushuhudia uongo!!
 
Naomben ushaur wana MMU...kuna kaka nilisoma nae shule moja yeye alikuwa a-level mim nipo o-level..hakuwai kuonesha dalili ya kunipenda kabisa wala hatukuzoeana...sasa nikaja kumeet nae accidentally town baada ya miaka km mitano..akaniomba no yangu nikampa tukawa tunawasiliana kama marafik mara yy akaenda nje kusoma kwaiyo mawasiliano yakakatika..baada ya miaka miwil akarud akanitafuta facebuk akaniomba tena my no nkampa tukaendeleza communication. Sasa ndo akaniambia ananitaka and he asked me if i date someone nkamwambia ndio kuna mtu namdate lakin sio kwel nilimdanganya tu cna mtu ninayemdate kwa sasa..basi kaka wa watu akapunguza communications kabisa sio kama mwanzo..tatizo linakuja kwamba ss hv najisikia kumpenda sana na najuta kumjibu kuwa nina mtu wakat sio kwel...nishaurin nifanyeje ili nimpate maana nampenda kwel sasa..

huyo msahau achana nae, em kuwa namm hlf uone kama hata utamkumbuka
 
Sasa kama ndege ulimfukuza mwenyewe,muda mwingine uongo ni hasara na ndo tabia kwa baadhi ya wanawake hata ukimuuliza jina anadanganya!
 
Uongo imekuwa SI Unit ya maisha yetu kwa sasa!
Kwa nini usiseme ukweli?

Kama kweli na hisia nae, basi tumia njia za wanawake kumnasa, alafu mwambie ukweli kuwa uko singo!!
 
Naomben ushaur wana MMU...kuna kaka nilisoma nae shule moja yeye alikuwa a-level mim nipo o-level..hakuwai kuonesha dalili ya kunipenda kabisa wala hatukuzoeana...sasa nikaja kumeet nae accidentally town baada ya miaka km mitano..akaniomba no yangu nikampa tukawa tunawasiliana kama marafik mara yy akaenda nje kusoma kwaiyo mawasiliano yakakatika..baada ya miaka miwil akarud akanitafuta facebuk akaniomba tena my no nkampa tukaendeleza communication. Sasa ndo akaniambia ananitaka and he asked me if i date someone nkamwambia ndio kuna mtu namdate lakin sio kwel nilimdanganya tu cna mtu ninayemdate kwa sasa..basi kaka wa watu akapunguza communications kabisa sio kama mwanzo..tatizo linakuja kwamba ss hv najisikia kumpenda sana na najuta kumjibu kuwa nina mtu wakat sio kwel...nishaurin nifanyeje ili nimpate maana nampenda kwel sasa..

we mwenyewe umekaa kiuongo uongo tu
 
Aunty kemmy wewe sema huyo uliyekuwa unadate naye kakupiga chini ndo unakumbuka kuna fursa imewahi kujitokeza!Mfuate mwambie ukweli,sasa sijui ukweli utakuwa upi,aamini kipi?Muwe mnasema ukweli na nyie,hivi huwezi kusema,''Samahani kwa sasa sina boyfriend ila siko tayari kwa mahusiano"Full stop,badala yake mnajishaua,hooo nina mchumba,umechelewa!!
 
Last edited by a moderator:
Kuwa na mtu nisababu ya kupunguza communications...? Hana mpango huyo kaka achana naye. Ungemwambia umeolewa labda angenyuti angeeleweka... Atakuja tu mwenyewe kama akili zake ni za kiutu uzima...
 
Aunty kemmy wewe sema huyo uliyekuwa unadate naye kakupiga chini ndo unakumbuka kuna fursa imewahi kujitokeza!Mfuate mwambie ukweli,sasa sijui ukweli utakuwa upi,aamini kipi?Muwe mnasema ukweli na nyie,hivi huwezi kusema,''Samahani kwa sasa sina boyfriend ila siko tayari kwa mahusiano"Full stop,badala yake mnajishaua,hooo nina mchumba,umechelewa!!

Labda alitaka abembelezwe,akakuta jamaa alifocus kwenye jibu zaidi
 
Last edited by a moderator:
huyo kaka anajitambua
umeshamwambia una mtu afanye nn ss? tena mstaarabu hakutaka kuharibu mahusiano yako.

mkiambiwa acheni uongo hamuelewi ndo faida hyo
ss ulimdanganya ili iweje?
na ht ukirudi atajua umepigwa chini tu atakuchezea tu.
 
Back
Top Bottom