I salute you Mbowe

I salute you Mbowe

Ipo siku mtagundua kuwa Mbowe ameua upinzani nchini kwa kukaribisha magamba na kuyapa upendeleo wa kugombea nafasi mbalimbali kwenye chama kilichojijengea sifa kubwa kupiga vita ufisadi,ajenda ambayo hakuna anayethubutu kuitamka kwenye majukwaa ya ukawa

kwa sasa waache wajifariji kama wako msibani lakni baada ya octobar watakuwa baridi
 
kamanda mkuu .....tingatinga...........
A%20S%2041.gif
 
Kwa hiyo ikija CDM ndo itajaza dawa mahospitalini,watu wataacha kufa, tutakunywa maziwa badala ya maji, nyumba za nyasi hazitakuwepo sababu CDM watagawa bati na vigae kwa watu wote huo ni uwenzawazimu wa kuwaza hivyo. maisha yatabaki palepele sana sana utabaki kujuta tu.nchi hizi za kiafrika zitabaki kuwa vibaraka wa nchi za magharibi na ulaya na asia tu hata ufanye nini.nitajie nchi ya kiafrika ilikuwa na vyama vingi na uchumi wake kwa kufanya mabadiliko umeimarika.
Wewe ndio chai, unajua maana ya elimu? tena mpaka kwa wakulima na wafugaji? unajua maana ya kupunguza kodi ? unajua maana kubadilika ki fikra ( kufanya mambo tofauti kwa mawazo tofauti)
Yaani natamani nikupige kibao kwa sababu inaonekana hata elimu ya chekechea huna..nyambafuu !
 
Back
Top Bottom