I salute you Mbowe

I salute you Mbowe

Lupaya

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2012
Posts
248
Reaction score
93
I salute you Mbowe, nasema I salute you Mbowe again. You a really comander if not a comandor. wewe ni camander zaidi ya wenye taruma ya kuwa makamander. Mbowe nimekukubali, na daima nitakuwa nyuma yako. Sikutegemea mbowe ungeendelea kusonga mbele, mbele ya masahibu na hila za kuua upinzani. Slaa aliye kuwa alama ya ukombozi, mshauri wako mkuu, mtu uliyemheshimu na kuweka imani yako kwake, leo kayafanya haya. Nilidhani ungeyumba lakini ahsante Mungu wa Mbinguni hukuyumba. Mbowe wewe ni kweli ni kamander. Ufahamu tumaini la wanyonge limebaki kwako. Nipo nyuma yako kokote uendako. VIVA Mbowe! may God of heaven bless you with safe and long life!
 
Ubaya wake nini? be specific. That is the man I believe, he has created a strong faith in me. Au unataka nimwamini Chenge na Liziwani?

Muamini huyo huyo Mbowe ila punguza mihemko.
 
Tena mbaya saaana, mfano mtu anashabika ccm kwa mika 50 huku akiishi kwenye nyumba ya nyasi, ndugu na familia wakifa kila kukicha kwa kukosa huduma bora za afya, gharama za maisha n.k...ushabikii mbayaaa saaana.

Kipindi ndg zako wanakufa kwa kukosa huduma, wengine wanatibiwa ulaya. Blame yourself! Chagua UKAWA halafu kaa tu kama boga usubirie huduma ije mlangoni.

Ushabiki wenu ndio unawaaminisha hivyo.
 
Dont be nagy man. I have told you to be specific. Mihemuko maana yake nini? you want to show people that you, bu is it true that you know? what seems to you is obssessions of selfishness, and not patriotism.
 
Dont be nagy man. I have told you to be specific. Mihemuko maana yake nini? you want to show people that you, bu is it true that you know? what seems to you is obssessions of selfishness, and not patriotism.

Andika kiswahili mkuu, sikuelewi.
 
Muamini huyo huyo Mbowe ila punguza mihemko.

Na nadhani hapo ulipo hata hujui kesho yako itakuwaje. Na inawekana huko unakotoka kuna umasikini wa kutupwa mnashindwa hata kupeleka watoto kwenye shule za kata. nauri yenyewe ya daradara inakupa shida unaishi kwa kugongea gongea. Miaka hamsini ya ccm imekuweka upofu. Endelea hivo hivo, unawashabikia ccm ukitumaini watukupa kinafasi ili nawe uwe fisadi utoe umasikini kwenu.
 
Hakuna cha "MAGUFULI" wala "MAKOMEO" ccm ni walewale sema tu wamebadili chupa lakini pombe ni ileile Na Siku Zote Mti Mbaya Hauwezi Kutoa Matunda Mazuri. kura zangu zote kunzia udiwan ubunge na urais ni UKAWAAAAAAAA tu hakuna la ziada CCM mpaka hapo wametufikisha pabaya. sasa tusemeeee? inatoshaaaaa kwa sauti tukianza na wewe! forwad sms hii kwa makamanda 90 ili tupate ushindi wa kishindoooooo!!!!
 
Back
Top Bottom