I need Tanzania like this.

baba Moses

Senior Member
Dec 7, 2017
100
80
Na ni kweli kuwa na kiongozi wa kudumu kunatuwezesha nchi nzima kufanya kazi kwa kila mtu katika fani na wito wake.
So kutatuwezesha kuwa kuwa na fikra kuwa tunae kiongozi basi kila mtu anaenda kuonesha kipaji chake alicho jaliwa na mwenyezi mungu.

Hii inaepusha kupunguza ma genge ya siasa na mwisho watu kujikita katika shughuli za maendeleo.

Maana kuwa raisi akibaki madarakani na akitoka madarakani still maisha yake yatakuwa ni yale yale tofauti kidogo tuu kama alivyo kuwa madarakani so tunazalisha kazi wenyewe kuhudumia marihisi wa staafu.

Vijana wamepoteza mwelekeo kwa kudhania siasa ni bora kuliko kitu kingine hapa nchini.So tunazalisha taifa tegemezi kama vile tayari tushafanikiwa.Maana kijana yule kumbe angekuwa dactari au hata kipaji kingine ambacho kingekuwa msaada katika jamii.

Mi nliona Wachina wana mtazamo wa mbali sana wanaupeo wa kufikiria Mara elfu moja kuliko sisi.Maana ukizingatia hii Dunia kila mtu Mungu alimuumba akija huku duniani anakuja kuwa nanii.
Maana si kila mtu anaweza kuwa Rais.

Basi nivile tukajua kuwa kama tunaitaji maendeleo basi ni vyema kila mtu kwa nafasi yake akajituma na kuachana na mkumbo wa siasa.

Fikiria pale Kenya ni vipi Damu za watu zingemwagika siku ile Raila Odinga anajiapisha alafu baada ya kipindi kama hiki wanakuja kukaa meza moja na kumaliza tofauti zao.
Na huku muwe mshapoteza ndugu na jamaa na Watoto kwa sababu ya siasa.
So vitu kama hivi hutokuja kusikia kwa nchi kama China au hata Korea.

We kama mtaalam wa miamba na madini siasa ya nini?? Au hata wewe unajua kuwa mwalimu bora siasa ya nini...??

Ni vyema tuu tukajua hata zile kampain na za kila msimu ni useless time hasa ulimwengu huu wa ushindani.

Ni hayo tuu ndugu zangu.
Ninamengi sana ya kulizungumzia hili nikipata muda ntafungua Uzi mzuri kama moderator wakinipa ushirikiano.

Ila tujue kuwa siasa ni moja ya sumu inayo itafuna sana nchi yetu hasa ukipiga maesabu tangu tupate Uhuru. Na kipindi hiki cha miaka amsini ya Uhuru hatuna uthubutu wa kituchochote kitakacho wavutia mataifa tofauti na Mali asili alizo tujalia mwenyezi Mungu.


Nawapenda sana watanzania wenzangu.
 
Na ni kweli kuwa na kiongozi wa kudumu kunatuwezesha nchi nzima kufanya kazi kwa kila mtu katika fani na wito wake.
So kutatuwezesha kuwa kuwa na fikra kuwa tunae kiongozi basi kila mtu anaenda kuonesha kipaji chake alicho jaliwa na mwenyezi mungu.

Hii inaepusha kupunguza ma genge ya siasa na mwisho watu kujikita katika shughuli za maendeleo.

Maana kuwa raisi akibaki madarakani na akitoka madarakani still maisha yake yatakuwa ni yale yale tofauti kidogo tuu kama alivyo kuwa madarakani so tunazalisha kazi wenyewe kuhudumia marihisi wa staafu.

Vijana wamepoteza mwelekeo kwa kudhania siasa ni bora kuliko kitu kingine hapa nchini.So tunazalisha taifa tegemezi kama vile tayari tushafanikiwa.Maana kijana yule kumbe angekuwa dactari au hata kipaji kingine ambacho kingekuwa msaada katika jamii.

Mi nliona Wachina wana mtazamo wa mbali sana wanaupeo wa kufikiria Mara elfu moja kuliko sisi.Maana ukizingatia hii Dunia kila mtu Mungu alimuumba akija huku duniani anakuja kuwa nanii.
Maana si kila mtu anaweza kuwa Rais.

Basi nivile tukajua kuwa kama tunaitaji maendeleo basi ni vyema kila mtu kwa nafasi yake akajituma na kuachana na mkumbo wa siasa.

Fikiria pale Kenya ni vipi Damu za watu zingemwagika siku ile Raila Odinga anajiapisha alafu baada ya kipindi kama hiki wanakuja kukaa meza moja na kumaliza tofauti zao.
Na huku muwe mshapoteza ndugu na jamaa na Watoto kwa sababu ya siasa.
So vitu kama hivi hutokuja kusikia kwa nchi kama China au hata Korea.

We kama mtaalam wa miamba na madini siasa ya nini?? Au hata wewe unajua kuwa mwalimu bora siasa ya nini...??

Ni vyema tuu tukajua hata zile kampain na za kila msimu ni useless time hasa ulimwengu huu wa ushindani.

Ni hayo tuu ndugu zangu.
Ninamengi sana ya kulizungumzia hili nikipata muda ntafungua Uzi mzuri kama moderator wakinipa ushirikiano.

Ila tujue kuwa siasa ni moja ya sumu inayo itafuna sana nchi yetu hasa ukipiga maesabu tangu tupate Uhuru. Na kipindi hiki cha miaka amsini ya Uhuru hatuna uthubutu wa kituchochote kitakacho wavutia mataifa tofauti na Mali asili alizo tujalia mwenyezi Mungu.


Nawapenda sana watanzania wenzangu.
Kuna lichama fulani ndo linaongoza kutuharibia vijana wenye uwezo na akili kuwaingiza kwenye siasa,Yaani linatuaminisha kwamba siasa ndo maisha bora.Ma academicians badala ya kubakia kwenye kazi zao za kufundisha,wanateuliwa serikalini na kuzika fani zao wakiwa bado na nguvu kabisa.Yaani hapa wanaaminisha vijana kwamba bila siasa,tena uwe chama chao huwezi kuwa na maisha mazuri,matokeo yake vijana wamekuwa hopeles kabisa,hawatumii tena uhuru wao wa ubongo kufikiri bali wanafikirishwa na watu fulani wenye akili ndogokuliko wao.Mtu kama Dr Haroub Bilal angetakiwa kuwa chuoni anafundisha vijana taaluma hadhimu kabisa kuhusu Nuclear Physics,ila matokeo yake mzee akaone ajiunge nao kwe siasa mambo yaende,Sasa sijui kwa sasa TZ tuna watu wangapi wenye taaluma kama yakwake?...Poor Tanzania
 
Kuna lichama fulani ndo linaongoza kutuharibia vijana wenye uwezo na akili kuwaingiza kwenye siasa,Yaani linatuaminisha kwamba siasa ndo maisha bora.Ma academicians badala ya kubakia kwenye kazi zao za kufundisha,wanateuliwa serikalini na kuzika fani zao wakiwa bado na nguvu kabisa.Yaani hapa wanaaminisha vijana kwamba bila siasa,tena uwe chama chao huwezi kuwa na maisha mazuri,matokeo yake vijana wamekuwa hopeles kabisa,hawatumii tena uhuru wao wa ubongo kufikiri bali wanafikirishwa na watu fulani wenye akili ndogokuliko wao.Mtu kama Dr Haroub Bilal angetakiwa kuwa chuoni anafundisha vijana taaluma hadhimu kabisa kuhusu Nuclear Physics,ila matokeo yake mzee akaone ajiunge nao kwe siasa mambo yaende,Sasa sijui kwa sasa TZ tuna watu wangapi wenye taaluma kama yakwake?...Poor Tanzania
Na ndio maana namba kubwa ya watu wanaamua kukimbilia siasa tukisahau huduma za msingi ki ukweli mwenzenu siasa nina aldge nayo
 
Na ndio maana namba kubwa ya watu wanaamua kukimbilia siasa tukisahau huduma za msingi ki ukweli mwenzenu siasa nina aldge nayo
Siasa zenyewe maji taka kabisa,siasa zisizokubali mgongano wa mawazo ni sawa na genge la kihuni tu.
 
Huyu naye ni GT?Na upuuzi wa mawazo ya kijima katika zama hizi za science&technology?
Sawaa na zama za kijima ila ndio ujue pale Russia hawamuachi Purtin
Ukija China ndio usiseme wameamua kuumpa uraisi wa maisha ukienda England utamkuta queen katulia pale akiwa mtu wa kutumia chochote pale uingereza yote.
Ukienda kwa kiduku ndio ujue hiwezi kumuondoaa
Usijiulize kuwa wao hawajui chochote ikiwa wale ndio wenye technology.

Kwa uchache hizo ndio nchi zinazo jua siri ya technology achana na wewe ambae technology unaitamka tuu lakini wana uwongozi wa kudumu.

Siasa zitakuua kwa
Au utatoka sana jasho
 
Ayo yote yanawezekana hata bila ya kuwa na mtawala wa kudumu
Kwa mfano wa nchi gani inayoanza kutafuta maendeleo kwa mfumo wa uchaguzi unao Fanya kampain nchi nzima kwa kuzunguka mitaa mbali mbali na mikusanyiko mibovu.

Wanafunzi kukosa masomo ni kila sehem ikiwa tunatumia matumizi ya pesa lihali tuna mashine moja tuu ya city's can pale muhimbili.

Kasi yamaendeleo hailetwi kwa maneno Bali nikazi na kujituma.

Siasa zinaleta chuki kubwa sana napia inagharimu uhai sana wa watu
 
Sawaa na zama za kijima ila ndio ujue pale Russia hawamuachi Purtin
Ukija China ndio usiseme wameamua kuumpa uraisi wa maisha ukienda England utamkuta queen katulia pale akiwa mtu wa kutumia chochote pale uingereza yote.
Ukienda kwa kiduku ndio ujue hiwezi kumuondoaa
Usijiulize kuwa wao hawajui chochote ikiwa wale ndio wenye technology.

Kwa uchache hizo ndio nchi zinazo jua siri ya technology achana na wewe ambae technology unaitamka tuu lakini wana uwongozi wa kudumu.

Siasa zitakuua kwa
Au utatoka sana jasho
Ivi wewe unafikiri huyo wachina na putini wanatejitengenezea mazingira wabaki madarakani au watu ndo wanataka wao wabaki madarakani kama ndo ivo basi USA ingekuwa ya mwisho kiuchumi kumbuku maendeleo ya kweli huletwa na taasisi imara sio kichwa cha mtu mmoja
 
Kwa mfano wa nchi gani inayoanza kutafuta maendeleo kwa mfumo wa uchaguzi unao Fanya kampain nchi nzima kwa kuzunguka mitaa mbali mbali na mikusanyiko mibovu.

Wanafunzi kukosa masomo ni kila sehem ikiwa tunatumia matumizi ya pesa lihali tuna mashine moja tuu ya city's can pale muhimbili.

Kasi yamaendeleo hailetwi kwa maneno Bali nikazi na kujituma.

Siasa zinaleta chuki kubwa sana napia inagharimu uhai sana wa watu
Basi jiulize nyerere alitawala miaka mingapi na alifanya nin
 
Maendeleo ya kweli huletwa na watu wote kupitia demokrasia ya kweli na si kichwa cha mtu mmoja lasivyo mtajenga miji na majumba mazuri kama libya na yataangushwa kwa siku moja
 
Ivi wewe unafikiri huyo wachina na putini wanatejitengenezea mazingira wabaki madarakani au watu ndo wanataka wao wabaki madarakani kama ndo ivo basi USA ingekuwa ya mwisho kiuchumi kumbuku maendeleo ya kweli huletwa na taasisi imara sio kichwa cha mtu mmoja
Ila USA utawala wa pale hasa ni wa vyama viwili tuu.Na pia ukumbuke urais wa Marekani unaenda kwa ukaribu sana ndio maana Bush hata na mtoto wake walisha itawala Marekani.

Na pia nata kusema si tuu kiongozi ndio tuumpe mamlaka Bali sisi wenyewe tuwe na wepesi wa kupima jambo katika tukio.

Ivi Tz yetu ingekuwa kuwa na kichwa kimoja kama ilivyo baba wa familia unafikiri tutakuwa hapa.
Maana ndugu wengi wangejikita katika shughuli zao za kuonesha iwezo na vipaji vyao kuliko kijana mwenye nguvu anakalia viti kuliko kuwa wakandarasi huko mabararani kuleta maendeleo.

Tupime mambo kwa ukaribu.
 
Ila USA utawala wa pale hasa ni wa vyama viwili tuu.Na pia ukumbuke urais wa Marekani unaenda kwa ukaribu sana ndio maana Bush hata na mtoto wake walisha itawala Marekani.

Na pia nata kusema si tuu kiongozi ndio tuumpe mamlaka Bali sisi wenyewe tuwe na wepesi wa kupima jambo katika tukio.

Ivi Tz yetu ingekuwa kuwa na kichwa kimoja kama ilivyo baba wa familia unafikiri tutakuwa hapa.
Maana ndugu wengi wangejikita katika shughuli zao za kuonesha iwezo na vipaji vyao kuliko kijana mwenye nguvu anakalia viti kuliko kuwa wakandarasi huko mabararani kuleta maendeleo.

Tupime mambo kwa ukaribu.
Unasifikiri ni yupi anaestahili kuitawa Tanzania milele
 
Ila USA utawala wa pale hasa ni wa vyama viwili tuu.Na pia ukumbuke urais wa Marekani unaenda kwa ukaribu sana ndio maana Bush hata na mtoto wake walisha itawala Marekani.

Na pia nata kusema si tuu kiongozi ndio tuumpe mamlaka Bali sisi wenyewe tuwe na wepesi wa kupima jambo katika tukio.

Ivi Tz yetu ingekuwa kuwa na kichwa kimoja kama ilivyo baba wa familia unafikiri tutakuwa hapa.
Maana ndugu wengi wangejikita katika shughuli zao za kuonesha iwezo na vipaji vyao kuliko kijana mwenye nguvu anakalia viti kuliko kuwa wakandarasi huko mabararani kuleta maendeleo.

Tupime mambo kwa ukaribu.
Umesahau kwamba kuna nyerere alitawala Tanzania zaidi ya miaka ishirini alituachaje vp kuhusu maadui wetu ujinga upumbavu na umaskini kwa watanzamia
 
Unasifikiri ni yupi anaestahili kuitawa Tanzania milele
Sihitaji kumtaja mtawala bali napenda tuwe na kipaji kimoja tukipe kiti.
Afu wengine turudi kupiga kazi

Mwaka huu unaisha hivyo nchi inamikataba kibao mi kubwa kubwa sasa we unategemea uchaguzi ujao kesho kutwa tuu tunaanza kuza gaa barabarani eti tunapiga kura.???
Kana kwamba hatujui kinacho endelea.

Tunaanzisha midahalo kila chaneli watu wamekaa tuu na maji safi kujadili wagombea wakati muda unatuacha.Miaka amsini hii kama hatuoni basi tuna badili gia gari lina songa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom