I need relationship advice

Find a sex partner, someone who you can trust but no string attached, you meet and do the necessary.
Kwa sasa i don't want a sex partner coz i used to have one naona kama tunachoshana and there is no real love kwa sex partners
 
Pole sana ila jaribu kubadilika siyo maisha mm mwenyewe natamani sana kuwa na mtu lakini inafika wakati nasitaa cjuwi kwa nn najiuliza yaliyonikita ndio chanzo cha yyte, pia kaa jitafakali cn na jaribu kubadilika
Okay thanks for your advice
 


Yule Boyfriend mliyedumu naye kwa siku Nne alikuwa na kasoro Gani...
 
Angalia pia maumbile yako ya siri huenda yamepwaya sasa maboy wanakula papuchi na kusepa
 
Lkn before hizo wiki mbili kuisha pale unapoanzisha hayo mahusiano unakua committed nayo au ni unajikuta unaingia tu ili uwe kama wengine? Lkn hapo hapo psychological umeathirika ndo maana itaendelea kua hivo, kingine usiwe na kiburi cha mapenzi kwamba yeyote utakua nae na kwa wakati wowote lkn pia kuvua vua chupi kwa kila mwanaume kunaweza kukufanya kuukosa umaanza wa mapenzi kwa maana hujali kitu sehemu zako za siri unakua umeshindwa kuziheshimu na umezishusha thamani ndo maana akipita huyu leo kesho mwingine ww kwako no matter.
 
Uwa nakuwa committed na uwa nasema kabisa natulia na huyo niliyempata
 
Ugonjwa wako ni kukosa anaekukuna vizur ndio mana unawachoka au hao ambao unaishia kuongea nao tatizo wew ni mjuaji na wao pia wajuaji vile vile
 
Uwa nakuwa committed na uwa nasema kabisa natulia na huyo niliyempata
Sasa nilazima uwe mhanga kwenye hili kwa sababu hizo nilizoainisha lkn pia kuukataa ugonjwa unaougua, wakuamini before kua huyu hali itakua ile ile tu kama wengine.
 
Wot do u do for a leaving?!...jaribu kutoka jichanganye na watu naona kama unaishi kipekeyako
I would like to assume you meant to ask what she does for a 'living' and not 'leaving'. Just saying.......................
 

Hayatuhusu. This is your private business. Absolutely, private.
 
Pole sana Dada. Inaonekana uko serious na unaloliongea.
Una umri gani?
Subiria uzeeke zeeke kwanza labda utakuwa na imani na wanaume. Lakini kuna faida na hasara ya imani yako juu ya wanaume. Mwisho utapishana na mkweli utaangukia kwa msanii wa mapenzi.
 
Unapenda Kufuatilia Maisha ya Bongo Movie au wewe ni Msanii Pia? nitakuja na hoja za msaada baadae
 
Yani mpaka naogopa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…