I miss you mahabuba

I miss you mahabuba

Nakumbuka ilikuwa kipindi naenda kuanza high school Usagara wakati jk ndo anamalizia madaraka.

JK kamaliza 2015 madaraka, kwa hiyo;

2015 - 2016: Form V
2016 - 2017: Form VI
2017 - 2018: First year.

Sijui course unayoisoma, ila second year ni kati ya miaka inahitaji concentration ya hali ya juu.

Maisha ya mapenzi yana mwanzo, huo kwako ndo mwanzo, zitakuja story zingine ngumu zaidi ya hizo mpaka hiyo utaiona cha mtoto.
 
Hhehehehehee Mahabat Mahabuba Mahaba....

Kila la kheri, acha mie nimpet pet wangu mwandani.

Nimekumbuka wimbo wa zamanii, siku hizi hata siusikii ukipigwa.....

TX Mpenz dokta wangu wa ndaniii. aayaa aayaa aaayaaa...
....amespeshalaizi kwenye upasuaji.....



Njoo uniopareti TX nipasueee pindua pindua kila kitu ndanii...

Yaaalaaah mahaabaa hayaaa.

Hahaha usiombe yakukute nilidhani maghorofa
 
JK kamaliza 2015 madaraka, kwa hiyo;

2015 - 2016: Form V
2016 - 2017: Form VI
2017 - 2018: First year.

Sijui course unayoisoma, ila second year ni kati ya miaka inahitaji concentration ya hali ya juu.

Maisha ya mapenzi yana mwanzo, huo kwako ndo mwanzo, zitakuja story zingine ngumu zaidi ya hizo mpaka hiyo utaiona cha mtoto.
Course nnayosoma nimeweza kuimudu vizuri na nishawahi kuwa na msichana tumeachana mwezi wa 5 lakini hajaniathiri chochote kwa kuwa nilitaka kumtumia kusahau ya nyuma.
Now napambana na hali yangu
 
Course nnayosoma nimeweza kuimudu vizuri na nishawahi kuwa na msichana tumeachana mwezi wa 5 lakini hajaniathiri chochote kwa kuwa nilitaka kumtumia kusahau ya nyuma.
Now napambana na hali yangu

Vizuri kwako, mapenzi ya utoto ni kazi kusahaulika kwa sababu yana ukweli sana, ingawa ni mara chache kuwa na uhalisia.

Ninakuelewa
 
Nakumbuka ilikuwa kipindi naenda kuanza high school Usagara wakati jk ndo anamalizia madaraka nilikuwa mimi na kitabu tu then nilikuwa katika vitu ambavyo haviniingii akilini ilikuwa ni wasichana.Nilikuwa sina hisia nao kali halafu nilikuwa nina aibu sana kwao,hii ilitokana na malezi ya nyumbani ya kidini kwa sana na kukatazwa kutoka nje labda iwe shule na sehemu ya ibada.

Kuna msichana mmoja hivi siku nafika class tulipangwa nae kukaa sehemu moja,she was so beautiful aliumbika kama mnavyojua watoto wa kitanga si haba ndani ya wiki ya kwanza nilikaa naye lakini unbelievably sikuongea nae chochote zaidi ya salamu ambayo alikuwa ananianza yeye one day uvumilivu ukamshinda,ile naingia class nakaa zangu mtoto kanisalimia kwa tabasamu tamu then akaniambia "halafu we kaka kwani huongeagi?.Nikamjibu " huwa siongei hadi niongeleshwe au niulizwe!",jibu langu lilimfurahisha sana.

Urafiki wetu ulianzia hapo ikawa kila sehemu shuleni tupo wote nikatokea kumzoea sana hadi home tukawa tunarudi naye then kumbe kimaajabu tunaishi jirani daaah!!!Alikuwa sometimes anakuja home tunajisomea hadi wazazi wakamzoea pia alikuwa na tabia njema wakampenda sana likizo ya December ilitutenganisha kidogo kwa kuwa alienda Dar kwa ndugu yake,January aliporudi tulionana skonga sio siri alifurahi alinikumbatia kwa muda mrefu na vicheko hadi wanafunzi wengine wakajua kuna kitu hapa sio bure.


Lile kumbatio lilinibadili hisia,moyo ulikuwa unadunda sana hadi usingizi nilikosa usiku nikatokea kumpenda sana na kumwambia nilikuwa nashindwa weekend ijumaa nikampigia simu night tukawa tunataniana nikamwambia 'kuna kitu nataka kukwambia' akajibu 'nambie tu'.Nikajifikiria nikamuuliza tena "hutokasirika?" ,akasema "inategemeana ila we sema tu"
Nikamwambia "nakupenda" akasema nirudie tena nikamwambia tena "I love you". Akakata simu nikawa nikipiga haipatikana Mara hapokei sio siri nikakujutia roho yangu.

Kesho yake asubuhi alikuja hadi home akiwa anaonekana hayupo sawa nikawa najaribu kujichetua ili hata afurahi lakini wapi.
Nikamuomba radhi kama neno lile lilimuudhi akadai nisijali sana,akaanza kunifungukia bwana kumbe anipenda pia alikuwa anafikiria,niliruka kwa furaha mapenzi yetu yalianzia hapo na hakuna aliyemtia stress mwenzake,she was my first love alinifundisha nini mapenzi na kila kitu alikuwa fundi kitandani sitamsahau.


Tulienda hadi tunakaribia kumaliza form six siku ya sherehe mambo yaliharibika,kumbe mzee wangu na baba wa demu wangu walikuwa na mabifu ya kibiashara kitambo na kuna vitu washawahi kufanyiana demu wangu alipandikizwa maneno na mzee wake hadi akatokea kunichukia Mimi na mzee wangu na inavyosemekana dingi ashawahi kusababisha kifo cha mama yake wa laaziz wangu.

Binafsi hata mzee nikimuuliza habari hizo hataki kunijibu anajibu wa mkato kuna kitu ananificha niliumia sana hata mtihani nilifanya kwa stress nilifaulu kwa uwezo wa mola mpenzi wangu akawa hanitaki tena,nikaenda jeshini miezi mitatu kurudi alishaondoka walihama na baba yake na sijui walihamia mkoa gani au nchi gani.

Wewe msichana kama upo humu jf jaribu kurudisha moyo wako nyuma,ugomvi wa wazazi wetu sisi hautuhusu I'm still in love with you!!!
Hata kama upoJupiter rudi mara moja nimemiss tabasamu lako na joto lako pia.Niliwahi kuapa sitatoa chozi for the sake of love lakini yanatoka mengi oh my god!!!!

I MISS YOU LAAZIZ!!!!



SAMAHANI KWA STORY NDEFU SIKUTAKA KUACHA KITU
Hii story imejirudia ishawahi kupostiwa umebadili kidogo tu...
 
Haya mambo yanasumbua sana ukiwa chipukizi lakini malegend hayatupi shida.
 
Hhehehehehee Mahabat Mahabuba Mahaba....

Kila la kheri, acha mie nimpet pet wangu mwandani.

Nimekumbuka wimbo wa zamanii, siku hizi hata siusikii ukipigwa.....

TX Mpenz dokta wangu wa ndaniii. aayaa aayaa aaayaaa...
....amespeshalaizi kwenye upasuaji.....



Njoo uniopareti TX nipasueee pindua pindua kila kitu ndanii...

Yaaalaaah mahaabaa hayaaa.
Mzee kijana naona bado mwingi wa habar hupitwi na mambo hahaa
 
Back
Top Bottom