sweetapple
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 533
- 462
I miss you too...(hata kama hujammiss)sasa utafanyaje??
Kufungua uzi unaweza lakini jibu la hiyo statement huna....... Thinking loud
Hahahaaha...umetisha mkuuMwambie i hate you
Nakupenda sana tena sanaGood explanation,happy new year 2016
bora umerudi huku maana kule ulikuwa unapotea.. Vipi umeshaolewa ama?Me huwa na nyamaza tu
dah naona ugumu kumwambia mtu nimemmiss wakati nilikua sijamfikiria hata kidogo mpaka tunaonana.....ila wanasema maisha bila unafiki hayaendiI miss you too...(hata kama hujammiss)sasa utafanyaje??
au nopUnatakiwa ujibu "k"
Wapi huko, Vip watakunioa nn?bora umerudi huku maana kule ulikuwa unapotea.. Vipi umeshaolewa ama?
Kule Siasani! Ndio kama nafasi ipo nijulishe lakini lazima Urudishe kwanza kadi Ya ChademaWapi huko, Vip watakunioa nn?
Kwa sababu tuna kinzana mawazo ndo wanasema napotea?? Halafu me sio mwanachama wa Chadema, me ni mtanzania naipenda nchi yangu, na kadi inakuzuia nini km ningekuwa nayo??? Nipende mieKule Siasani! Ndio kama nafasi ipo nijulishe lakini lazima Urudishe kwanza kadi Ya Chadema
Akikuambia hivyo we mjibu I love u too DogMambo zenu wana mmu
Hili neno linanitatiza, mtu akikuambia" I love u" unatakiwa umjibu vipi? kiukweli mimi huwa nashindwa kujibu.
Naombeni majibu yenu tafadhali
Kingereza unajua lakini???Mambo zenu wana mmu
Hili neno linanitatiza, mtu akikuambia" I love u" unatakiwa umjibu vipi? kiukweli mimi huwa nashindwa kujibu.
Naombeni majibu yenu tafadhali
upo tayari tuanzishe penzi la dhatiKwa sababu tuna kinzana mawazo ndo wanasema napotea?? Halafu me sio mwanachama wa Chadema, me ni mtanzania naipenda nchi yangu, na kadi inakuzuia nini km ningekuwa nayo??? Nipende mie
wewe utaendelea na uccm wako na mie nitaendelea na upinzani wangu, ila tutakuwa wapenzi, I love you ibra87upo tayari tuanzishe penzi la dhati
hapo nipo tayari! Nakupenda pia habari ya hapa. Nataka nikufanye uwe mwanamke mwenye thamani kubwa kwangu.. Hakika hutajuta kunikabidhi penzi lako... Nakupenda pia @habari ya hapawewe utaendelea na uccm wako na mie nitaendelea na upinzani wangu, ila tutakuwa wapenzi, I love you ibra87