- Thread starter
- #41
Mkuu mapenzi haya tafsiri.......assess yourself critically. jiulize maswali haya
a) nikitugani kinachonifanya nimpende?
Hapa ndipo penye utata, tabia zetu zinafanana sana na mshkaji, kona zote tupo pamojab)kwa tabia zangu ambazo ma friend anazijua je hazitaniharibia pozi katika mahusano haya?
.
Binafsi nahisi ninge mind..........thats why naoma maoni yenu maana watu tunatofautiana banac) je ingekuwa ni dada yangu mimi na kwa jinsi nimjuavyo rafiki yangu je ningemkubalia wawe na mahusiano?
Nope sipo tayari......lakini kwani kumpenda dada yake ni kuvunja uhusiano?d) je nini hatma ya urafiki kati yangu na huyu rafiki yangu? niko tayari kuuvunja au uendelee?
e)
Hapa ndio pana nitatiza ndio maana naomba ushauri mkuue) kama ninataka uendelee na wakati namtaka na dada yake nitafanyaje ili usife?
Nijibu haya kwanza kisha nitakuja kwako na ushauri.