I love him

Sa ndo hadi unashindwa kufanya hadi kazi, ukifukuzwa je? Anyway jitahisi umuoneshe lugha ya picha hadi akuelewe, sasa sijui akikutolea nje itakuwaje mmmh

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

yan nmekuja nduki nkajua eva anamwambia mwamba,,haha
 
dem mmoja alikua ananiletea swagger za kuinama mbele yanu,kunionesha mapaja,na kifua..,
nikampa finger sku moja...ilibak kidogo apoteze faham
na mie binti wa mpangaji wangu alikua ananiletea za hivo hivo akiniona kurembua kubinua matak nikamsubilia amkeaa na mama yake nikamwambia ukome we mtoto usinipe kesi
 
Sa ndo hadi unashindwa kufanya hadi kazi, ukifukuzwa je? Anyway jitahisi umuoneshe lugha ya picha hadi akuelewe, sasa sijui akikutolea nje itakuwaje mmmh

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Roho wa uzinzi huyo! Be Careful kamwulize malaika mlinzi wako huyu ni nani kwako. Kafunge na kuombe.
 
Inaelekea una siku nyingi mtu hajaingia katikati ya miguu yako
 
Roho wa uzinzi huyo! Be Careful kamwulize malaika mlinzi wako huyu ni nani kwako. Kafunge na kuombe.

Hakika hakuna pepo wa uzinzi ndani yangu. Nimempa tu moja ya mbinu za kumpata ampendaye. Is it a crime kumpenda mtu? Wanawake haturuhusiwi kuexpress feelings zetu? Since hawezi kuongea na huyo kaka na kumwelezea shida zake, I think lugha ya picha itamsaidia kufikisha ujumbe wake.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
thanx Heart... nashindwa kukuquote coz net inasumbua.... lakini kujenga urafiki pia inaniwia vigumu lakn nitajitahid kuwa karibu nae
 
Last edited by a moderator:
Hebu mfungukie mdada haya mambo yakujificha ficha yalishapitwa na wakati
 
Nokia83.... upo wewe! mi nishakuzoea na maneno yako
 
Last edited by a moderator:
Funguka mama Kwanini ufe na kijiba cha roho?
 
thanx Heart... nashindwa kukuquote coz net inasumbua.... lakini kujenga urafiki pia inaniwia vigumu lakn nitajitahid kuwa karibu nae

wewe umependa kweli......
Embu zidisha body language..namba yake ya sim huna?
 
Last edited by a moderator:

Mwombe umtoe lunch....akiingia mkenge msolelee kwa raha zako....si ndio usawa!
 
muombe namba yake ya whatsapp kisha umrushie picha zako ukiwa uch.
 
Heaven Sent.. thanx..... kwa kweli ananitesa..... yani angejua....... natamani aelewe mapema

Pole kipenzi, jitahidi kwanza uanzishe urafiki naye wa karibu, then mengine yatafahamika mbele kwa mbele

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…