I like them girls

I like them girls

Kuna warembo ukiwatupia macho wanarudisha tabasamu mpaka raha.
 
Aisee mimi huwa naburudika kwenye foleni ya ferry....Huwa nashangaa masaa mawili yamepita nasubiria pantoni bila kuchoka kwa sababu ya warembo wanaopita kupanda pantoni!!!! Hawa akina housegirl Heaven Sent atoto miss chagga wanafanya dunia iwe sehemu nzuri sana...

Yessir! Mi nipo nao karibu kila siku. With their uniforms on, packed with heavy assets. Cat-walking with killer but innocent attitudes. I just watch, smile, and appreciate the art. My hand's tied.

Ha Ha Haa Basi Unapenda R&B Kama mimi.enzi za miaka ya 2000'S

Kweli kabisa, RnB is my !sh.
 
Aisee mimi huwa naburudika kwenye foleni ya ferry....Huwa nashangaa masaa mawili yamepita nasubiria pantoni bila kuchoka kwa sababu ya warembo wanaopita kupanda pantoni!!!! Hawa akina housegirl Heaven Sent atoto miss chagga wanafanya dunia iwe sehemu nzuri sana...

Nitakuvizia kesho "ferrini " nikiona jamaa anaekodoa kodoa sana tu najua ni wewe.. nakufata tunaenda kwa kitchen party ufaudu uzuri
 
Last edited by a moderator:
Imagine Pale Posta Na Mwenge Wasingekuwepo.Ama Kwenye Daladala Wasiwepo

Hahaaa umenikumbusha rafiki yangu mmoja alisema akisimama kwenye DCM gongo la mboto/town mbele yake akiwa mdada hata foleni ya masaa matatu hachoki.
 
Ungetumia "I" miss pretta wengine wana machungu hawawapendi

Tuwapende bana.........hebu fikiria dunia ingekuwepo bila wao.......tuwe wanawake wenyewe.........si umbea tu ungejaa.......mi nawapenda kwa sababu wananifurahisha kwa kila nyanja.........
mwaaa mwaaa........wanaume wote..........
 
Tuwapende bana.........hebu fikiria dunia ingekuwepo bila wao.......tuwe wanawake wenyewe.........si umbea tu ungejaa.......mi nawapenda kwa sababu wananifurahisha kwa kila nyanja.........
mwaaa mwaaa........wanaume wote..........

...mwaaaa
 
Yessir! Mi nipo nao karibu kila siku. With their uniforms on, packed with heavy assets. Cat-walking with killer but innocent attitudes. I just watch, smile, and appreciate the art. My hand's tied.



Kweli kabisa, RnB is my !sh.

Yeuwiiiii sijui kwa nini nimesoma hapa. Babes, wivu sina ila roho inauma jamani
 
Hahaaa umenikumbusha rafiki yangu mmoja alisema akisimama kwenye DCM gongo la mboto/town mbele yake akiwa mdada hata foleni ya masaa matatu hachoki.

Duh.Anachaji Battery Nadhani
 
Hata sisi hivyo hivyo ukienda maeneo hayo af mko wenyewe wenyewe tu hainogi kama wakiepo ma'men..

Dah Avatar Yako Ni Kali Na Inafanya Dunia Izunguke
 
Tuwapende bana.........hebu fikiria dunia ingekuwepo bila wao.......tuwe wanawake wenyewe.........si umbea tu ungejaa.......mi nawapenda kwa sababu wananifurahisha kwa kila nyanja.........
mwaaa mwaaa........wanaume wote..........

Wao!Asante Sana
 
nawapenda warembo pia..loh yaani nikimuona mdada mzuri nitampa muda wangu kiroho safi...i wish if i were a man.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom