I like them girls

I like them girls

BUMIJA

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
6,182
Reaction score
11,779
Me Napenda Sana Katika Pitapita Niwaone Warembo.Nikiwa Nasafiri Niwaone Kwenye Bus,nikiwa Uwanjani Wakishangilia Napenda Sana,nikifundisha Niwaone Darasani Japo Ni Wadogo Zangu Na Nawaheshimu.Nikiangalia Tv Nawacheki,kwenye Sherehe Bila Wao Haifani. nikiwa Jf Nikiona Comments Za Kina Salt,rubii Na Roza Na Wengine Napenda Sana.Dunia Tam Jamani Sema Maisha Mafupi
 
Me Napenda Sana Katika Pitapita Niwaone Warembo.Nikiwa Nasafiri Niwaone Kwenye Bus,nikiwa Uwanjani Wakishangilia Napenda Sana,nikifundisha Niwaone Darasani Japo Ni Wadogo Zangu Na Nawaheshimu.Nikiangalia Tv Nawacheki,kwenye Sherehe Bila Wao Haifani. nikiwa Jf Nikiona Comments Za Kina Salt,rubii Na Roza Na Wengine Napenda Sana.Dunia Tam Jamani Sema Maisha Mafupi

Hahaha. Nikajua Tyrese katua MMU. I like them girls too.

Aisee mimi huwa naburudika kwenye foleni ya ferry....Huwa nashangaa masaa mawili yamepita nasubiria pantoni bila kuchoka kwa sababu ya warembo wanaopita kupanda pantoni!!!! Hawa akina housegirl Heaven Sent atoto miss chagga wanafanya dunia iwe sehemu nzuri sana...
 
Last edited by a moderator:
Aisee mimi huwa naburudika kwenye foleni ya ferry....Huwa nashangaa masaa mawili yamepita nasubiria pantoni bila kuchoka kwa sababu ya warembo wanaopita kupanda pantoni!!!! Hawa akina housegirl Heaven Sent atoto miss chagga wanafanya dunia iwe sehemu nzuri sana...

Imagine Pale Posta Na Mwenge Wasingekuwepo.Ama Kwenye Daladala Wasiwepo
 
Last edited by a moderator:
Tupo wengi a day without flowers its like the year without rain huh!
 
Aisee mimi huwa naburudika kwenye foleni ya ferry....Huwa nashangaa masaa mawili yamepita nasubiria pantoni bila kuchoka kwa sababu ya warembo wanaopita kupanda pantoni!!!! Hawa akina housegirl Heaven Sent atoto miss chagga wanafanya dunia iwe sehemu nzuri sana...

Wacha weeee!!! Ila tukiwa dubei marufuku kugeuza geuza shingo la sivyo ukiirudisha utakuta nami nimepotea.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu BUMIJA wanatuondolea stress sana hawa watoto
 
Last edited by a moderator:
Aisee mimi huwa naburudika kwenye foleni ya ferry....Huwa nashangaa masaa mawili yamepita nasubiria pantoni bila kuchoka kwa sababu ya warembo wanaopita kupanda pantoni!!!! Hawa akina housegirl Heaven Sent atoto miss chagga wanafanya dunia iwe sehemu nzuri sana...

Hahaha yani wewe nimeshakupoteza ferry..... I like 'em boys very much
 
Last edited by a moderator:
Imagine Pale Posta Na Mwenge Wasingekuwepo.Ama Kwenye Daladala Wasiwepo

Alafu ujue nilijua nimemquote Kaboom!! Makubwa kumbe ni RRONDO, sasa ndugu yangu kwenye shughuli zako wafikaga saa ngapi km washangaa muda wote huo!!
 
Last edited by a moderator:
Alafu ujue nilijua nimemquote Kaboom!! Makubwa kumbe ni RRONDO, sasa ndugu yangu kwenye shughuli zako wafikaga saa ngapi km washangaa muda wote huo!!

Atakua Anatenga Mda Wa Starehe.Kama Wewe Unavotenga Kucheki Tv
 
Last edited by a moderator:
Alafu ujue nilijua nimemquote Kaboom!! Makubwa kumbe ni RRONDO, sasa ndugu yangu kwenye shughuli zako wafikaga saa ngapi km washangaa muda wote huo!!

Hio foleni two hrs ni ratiba ya kila siku.....ndio muda natumia kwenda mihangaikoni.
 
Haibiwi.Hapa Kazi Tu(anawatazama Tu Ha Ha Ha Haa)
Eeeh wewe humjui RRONDO. Ngoja nisitoe siri za kambi. Ila kama angeweza basi angejenga nyumba yake+ office+ kanisa + Kila kitu palepale kwenye kivuko ili awatizame vizuri wale watoto wakareee
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom