nisameheni!nasoma basi!
Nimekusamehe ila soma kweli.
nisameheni!nasoma basi!
Good Lady!! Safi sana umeonyesha ulivokuwa mkubwa sasa nitaku PM nikupe mbinu za kivita zaidi
Tumeingia kwenye ndoa ndio naanza kuona matatizo mengi hap tuna watoto wawili, si muaminifu kwa pesa za watu wala zangu akiazima basi inabidi nilipe kufunika aibu, ni muongo mara nyingi ni uongo usio na sababu sijui ninini?? yote tisa kumi kesi za wanawake ni kibao na ameshaattempt kuoa mara mbili yeye nikazikamata kwenye mtandao, anakaogonjwa na wanawake wazuri na weupe (hata mimi ni mweupe na mzuri lol) so kila nikimkamata ni ugomvi tu na mwisho anaomba mara msamaha lakini anarudia tena. Biashara nilimuanzishia japo biashara yenyewe alikuja kushindwa akafanya eneo la biashara ndio kituo cha kukutana na wanawake wake mpaka nikawa naogopa kupita hiyo mitaa.
.
naomba na mimi.
you have drawn the battle line in the sand,haya sasa ngoja nitulie nishuhudie ma tomahawk missiles yakirushwa toka kila upande,la kwanza hilo vruuuuum karusha Salma,nasubiri mlio wa wajibu mapigo.Kha wewe ni Mwanamke au mwanaume? Embu soma signature yangu haraka.. Huyo Mumeo anawaendea wanawake kama wewe, embu waheshimu wanawake wenzako bwana. Unajua wanawake mlioolewa mnajiona malaika saana na kuwaona wengine kama nyani vile, vikatuni flani vile.. Mwanamke Gani wewe usiyejiuliza? kama mume wako angekuwa anawafukuzia wanaume wenzake (chakla) hapo tungesema mengine, lakini Mumeo anawafuata wanawake.. Wanawake kama wewe.. Ebo! sasa kwanini usijiulize mumeo anakosa nini kwako kulikoni kulaumu na kumuona yeye nyoka all the time. angekuwa kweli nyoka hao unaowaita wanawake wangemkimbiliaje? Embu jichunguze, Jiangalie mapungufu yako, fanya personal Introspect sio kila siku mwenzio ndiye mkosaji, wewe hukosei?. Isitoshe huenda una mdomo sana.. all days mumeo akija unamwimbishia mdomoooo mpaka ajajifill infirior kaka wa watu..unajua tena naelimu yake kimeo.. anaona kama unamnyanyasa Flan. HUNA UTII.. Huna Utii wala UTU wewe.. Mods niacheni nimmiminie Huyu vyake asipoambiwa ukweli kesho idadi ya watoto wa mitaani itaongezeka. . wako wengi sana kama hawa.. Wakishaolewa hujifanya malaika weupe..Miaka 32, wewe bado katoto kadogo, kinda kabisa hata hujui mlango wa nyege.. Wako wengi sana waliokuwa kama wewe, wengi mno, na mwisho wao ulikuwa mbaya sana. sijaona aliyefanikiwa hata mmoja. Leo unauchungu saana kwa hilo, basi ngoja, hata miezi haiishi atatokea mtu, atauzuuza moyo wako, tena wanaume wanavyopenda wanawake walioachika kama loose ball zao, wanandimi hao, hata uweje huwezi kuwakwepa mama, watakuchotelea vibaya wakuachie miukimwi, wewe na mumeo wote mtaondoka mtatuchia mayatima watoto wenu. Embu acha fikra za kishetwani. Mapito ni sehemu ya maisha. pata Ushauri sahihi, Rudi kwa mumeo kabla mguu wake wa tatu hajazidi kuusambaza zaidi. Ukichelewa utaambulia matunda yake..
Hebu Soma PM haraka
naomba na mimi.
you have drawn the battle line in the sand,haya sasa ngoja nitulie nishuhudie ma tomahawk missiles yakirushwa toka kila upande,la kwanza hilo vruuuuum karusha Salma,nasubiri mlio wa wajibu mapigo.
naomba na mimi.
kazi ipo unataka ujilipue?