I feel played

One sentence for you baby gal, "he is not that into you"!

stop calling him, stop texting him and when you meet 'act normal' like he does. Soon atatoka moyoni mwako, anaenjoy free rent huyo.

Huu ndo ukweli. Umemaliza kila kitu.
Mleta mada yafanyie kazi haya maneno.
 
Wengne tuko hivyo jamani. Kwan kuchat na kukupigia simu mara kwa mara ndio mapenzi?! Anafanya kazi gan kwanza?! Ni mtu wa tabia gan?! Tokea zaman alikuwa hivyo au kachenji baada ya kuwa nawewe?!
Kazi am not sure but huwa anasafiri sijaweka kazi yake akilini sababu sitaki afikirie am after money tabia yake sijui lakini he drinks alot na mara ya kwanza he used to call mara chache Ila siku hizi its neva labda anione sehemu ndo atapiga kuuliza naenda wapi
 
Wewe anakuchukulia kama mapozeo ndio maana hayupo kihivyo nawe
 
Vumilia sexy bubble
Mapenzi bana ukimuonesha mtu unampenda anakuchukulia poa, usipomuonesha wampenda analalamika.
 
Last edited by a moderator:
Experience yangu inaonesha huyo mtu ana mwingine ambae ndo yuko nae serious. Ww anakupotezea muda tu. Chapa lapaaa
 
ukweli mchungu huu
dah
One sentence for you baby
gal, "he is not that into you"!

stop calling him, stop texting him and when you meet 'act normal' like
he does. Soon atatoka moyoni mwako, anaenjoy free rent huyo.
 

He is busy but he loves you so much....
 
One sentence for you baby gal, "he is not that into you"!

stop calling him, stop texting him and when you meet 'act normal' like he does. Soon atatoka moyoni mwako, anaenjoy free rent huyo.

exactly yes n i agree wit u % percent kuna mtu alitaka kunipanda kichwani kama huyo dada at first it was difficult 4 me thx God jf huwa inaniencourage zaid ya sana ikawa no call no sms mpaka anashangaa nkachapa lapa taratiiibu khaa u cant believe I MADE IT!
 
Just tell him wat u feel and wat u want him to do for you so dat u can feel loved
 

Hivi huwa mnashindwa kuandika kiswahili au haya ni maradhi mapya?

Kama unadhani kiswahili ambacho ulikitumia muda tu uliotoka tumboni mwa mama yako hadi leo unakitumia na pengine hata ukiwa chooni unakitumia si bora tu uandike hiyo lugha ambayo umejifuza kwa mwaka mmoja tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…