I don’t wanna marry him, what should I do?

I don’t wanna marry him, what should I do?

Mimi roho ilikataa kuchukua vitu nilivyomnunulia mpenzi wangu baada ya kushndwana. Niliondoka kimya kimya maana alipata boya mwingine. Baada ya kumwambia najiweka pemben baada ya siku mbili katuma text eti "ulikuja kwangu ukachukua vitu flan flan? Nikamjibu Mimi sijaja kwako. Sikujua alimaanisha nini lakin roho ilikataa kabisa ingawaje alinifanyia visa sana. Mabagaria mnaona je hapa?
Mods futeni huuu Uzi maana title imeingia ambayo sio yangu.
 
We unaonekana hivyo vitu vinakuumiza sana roho, kwani ulilazimishwa kumnunulia????

ukiachwa sahau vyote.
 
Aliyeelewa atusaidie wale wa darasa la pili B ili tuchangie.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom