Hapo kuna babu ameshikilia torch anammulika huyo binti aliyebeba mtoto... Na mbwa aliyelala hapo chini
Hapo kuna babu ameshikilia torch anammulika huyo binti aliyebeba mtoto... Na mbwa aliyelala hapo chini
what do u mean by Fremason Sign? an what is a Fremason Sign?View attachment 52652people thing this is Fremason Stuffs What do You say?
.
.
Mkuu, sasa hapo u-freemason unatoka wapi kwenye hii picha? ... its just an image ambayo ina-illusion ambapo kuna various faces na wewe unatakiwa uzi-identify na kusema jumla yake. Naona kuna watu wamejaribu kusema ziko tatu sijui nne n.k .... mimi nimezionyesha zote sura 10
Sasa nyie watu siku hizi kila kitu mnasema ni Free-mason!
Attn: mfupa2 client3 sister magnetic Kimokole Tripo9 jumbenylon Vinci Endangered deejay-nasmile Annael Paul-kijoka Kingmairo