Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,179
- 34,435
Ee bwana mie Karucee mie, yananikutaga mengi under the sun kwa kweli. I wonder if it is the same for everyone else. sigh!! Juzi bwana nakatiza mitaa ya Kkoo jioni sana kwenye saa moja. Katika purukushani na vurugu za watu kupishana na magari pikipiki etc etc. Nikamkanyaga babu mmoja. I felt so bad. He was an old chap of at least 70. Nikasimama kumuomba samahani. I must have had a teardrop or two because I felt so bad. Mzee samahani sana babangu. Sio kusudi naomba nisamehe. EE bwana the dude grabbed my ass!!!! Tena akaniambia I don't mind. Tunaombaga tukanyagwe hasa na mtoto mzuri kama wewe. I could not believe my ears. Nikabaki nashangaa hapo hapo with his hands on my ass. He pinched my ass again. Ile nageuka kuondoka in disbelief akawa ananifata nyuma huku anatembea fasta ameshika kifimbo chake so he pokes my ass na huku anaita kwa sauti aaaah mtoto mzuriiiii njooooooo. I swear I was embarrassed!! May this week come to an end peacefully jamaniiiii.