Binti Maringo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 2,804
- 97
- Thread starter
-
- #201
Hapana hiyo sehemu ilikuwa mambo ya ujana! Sie tulikuwa tunapiga I-70 West towards Kansas City!!
Strip Club gani!? unaongelea "OZ" nini!?? Kule zipo nyingi sana, zina toa droo na namba ya makanisa!! Umeijuaje....inaonekana wewe ni mwingi sana wa habari!? Anywayz, happy friday!!
Ni unuguni sasa wewe unategemea nini? Kuna mpaka vyoo vya nje tena vya shimo.....
Mie lina nikumbusha spot flani ipo East St. Louis, Illinois palikuwa panaitwa Monastery......acha bwana enzi za 2000-2003 mpaka saa mbili asubuhi halafu hao tunakamata I-70 kurudi kijijini kwetu hahaha.....ma-bouncer walikuwa wanavaa t-shirt nyuma zimeandikwa "if you don't give a damn, we don't give a f...."! Basi shwari tu hamna utoto! LOL.....nilikuwa nampa message Kisandu wa Masondole a.k.a naniliu na shoga yake Yoyo kuwa wengine tumemaliza syllabus eehehehe.....
Ahahah Aisee na mimi washikaji zangu fulani nilienda kuwatembelea huko Midwest late 1990s, nashangaa tunapata ulabu mpaka 0100 ndio watu wanasena aisee tujitayarisheni kwendu club. Du, mitaa ya 0200 watu tumefika huko East St louis tunapita drive through tukaorder chupa yetu ya Gordons hao tunaendela na ulabu, halafu around 0300 tunafika club tunakuta line sio mchezo yaani ndio kwanza club inaanza. Aisee, sijawahi kuona lawless place kama uko yaani anything goes, du.
Kelly01 Pole sana na I hope umeimarisha usalama hapo crib.
Hivi kwa nini wanaume wanapenda sana Stripe club ...?....
i have been into men's strip club,women stri clucb,Gay/lesbian strip club (ila this is funny)! kama hujawahi please go huko aisee utaona rangi zote chalii!...
Is it just me or has anybody else noticed? Jamani grammar na spelling TAABU,eh.
For s1 who lives in the suburbs of some city to make such grammatical mistakes is a shame. "Safe awareness, papper spray" etc. Mkikaa huko jamani msikazane kucatch up on American slang. Cover the basicss
I got it mayn...I got it...
If u look in the dictionary next to the word swagger you see me...I own it mayn
Hahah swagger on Viagra, keep it up son!!!