I am looking for clinical psychologist for counseling and guidance

Head prefect

JF-Expert Member
Apr 16, 2013
225
105
Wakuu,

Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza,nimekuwa nasumbuliwa na kushtuka kwa mapigo ya moyo kwa muda kama miezi saba na zaidi, moyo unakuwa kama unaruka mapigo, au kudunda kwa nguvu kama unakita kwa nguvu fulani mara moja au mbili kisha unaendelea na mapigo yake ya kawaida. Hali hii hudumu kwa kipindi na kupotea kisha hurudia tena.

Nikiwa kwenye kutafakari hali hii nikapatwa na hali nyingine ya kupatwa na wasiwasi ghafla,tumbo kukata, Kubanwa kifua na kushindwa kupumua, kuweweseka na kukosa control na mwili kufa ganzi. Baada ya kuwaona wataalamu nikaambiwa kitaalamu inaitwa anxiety disorder na panic attacks. Hali hii imenisumbua mpaka nimeshindwa kutekeleza majukumu yangu ipasavyo. Nimefanyiwa vipimo vya moyo(ultra sound na Eco) , ini, figo na full blood picture sijaonekana na tatizo lolote.

Madaktari wameshauri niwaone wataalamu wa maswala ya saikolojia.

Nimejaribu kupambana na hii hali, lakini bado nina mshtuko wa mapigo ya moyo yananitesa sana, pamoja na kuwa na woga usioelezeka bila sababu. Huwa nina woga na hofu ambayo siijui, kila nikitafakari kuwa naogopa nini huwa sioni ninacho ogopa, lakini naogopa. Wakati mwingine nakuwa na hofu ya kufa.

Wapi nitapata wataalamu wa saikolojia? Niko Moshi Kilimanjaro.

Kama humu wapo wanishauri hapa kwenye huu uzi au pm wakuu.

Asanteni sana.
 
Pole Sana nilipitia hali Kama yako mwaka just kuanzia Jan Hadi Nov nilikuwa Kama wewe lakini Mimi nilikuwa nimedhulumiwa kitu na Wala hakikuwa na thamani kivile na nilipimwa Hadi moyo , x-ray, mapigo ya moyo vyote vilikuwa sawa Hadi nilianza kutumia vidonge vya anxiety na mwili ulikuwa unakufa ganzi pia nikaona nitakuwa mtumwa wa dawa maana Sina ugonjwa wowote na pia hii Hali inasababishwa na mawazo nakushauri Kama una mawazo Acha maana niliamua kumwachia mungu nikaona nitapata vingine sio lazima hicho nilichodhulumiwa na pia nikatafuta shekhe akaniombea dua huwezi amini nilipona japo mpaka leo mtu akinishtua huwa sijisikii vizuri ila namshukuru mungu nimepona na nikikumbuka naonaga Ni ujinga maana hicho kitu hakifiki hata thamani ya 4 mill ilihal Kuna watu wamepoteza mabill

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maana yake umeshauriwa utafute njia mbadala yaan jaribu mitishamba...au maombezi au kwa mashekhe.


Daktar hawez kukuambia moja kwa moja kua nenda kwa mitishamba au maombezi ...

Iyo counseling hata wao wanaiweza !!!.....NiPM .
 
Pole Sana nilipitia hali Kama yako mwaka just kuanzia Jan Hadi Nov nilikuwa Kama wewe lakini Mimi nilikuwa nimedhulumiwa kitu na Wala hakikuwa na thamani kivile na nilipimwa Hadi moyo , x-ray, mapigo ya moyo vyote vilikuwa sawa Hadi nilianza kutumia vidonge vya anxiety na mwili ulikuwa unakufa ganzi pia nikaona nitakuwa mtumwa wa dawa maana Sina ugonjwa wowote na pia hii Hali inasababishwa na mawazo nakushauri Kama una mawazo Acha maana niliamua kumwachia mungu nikaona nitapata vingine sio lazima hicho nilichodhulumiwa na pia nikatafuta shekhe akaniombea dua huwezi amini nilipona japo mpaka leo mtu akinishtua huwa sijisikii vizuri ila namshukuru mungu nimepona na nikikumbuka naonaga Ni ujinga maana hicho kitu hakifiki hata thamani ya 4 mill ilihal Kuna watu wamepoteza mabill

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana kwa ushauri, Nimejaribu kuachana na mawazo, najichanganya na marafiki ili kupoteza mawazo, lakini unakuta Nacheka na kufurahi mara ghafla naanza kuishiwa nguvu na kukosa pumzi nashikwa na panic, itanitesa zaidi ya dakika 10 kisha kutulia, mara nyingi inakuja kwa nguvu mpaka nakimbizwa hospitali kupata msaada wa kitabibu....
Sasa moyo ndio tatizo, mapigo ya moyo yanalipuka na kutulia, angalau ninaposhea na wenzangu kama hapa na kuona kuwa siko mwenyewe kwenye hali hii napata ahueni kidogo.

Asante sana, najitahidi kuacha mawazo.
 
As
Maana yake umeshauriwa utafute njia mbadala yaan jaribu mitishamba...au maombezi au kwa mashekhe.


Daktar hawez kukuambia moja kwa moja kua nenda kwa mitishamba au maombezi ...

Iyo counseling hata wao wanaiweza !!!.....NiPM .
Asante mkuu nakuja pm
 
Pole Sana! Jaribu kufanya breathing exercise! Pia jaribu kufanya yaliyopita yamepita! Lililotokea limeshatokea kamwe huwez kubadilisha! Kunywa maji meng, mazoezi,pumzika vyakutosha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante sana kwa ushauri mkuu
Pole Sana! Jaribu kufanya breathing exercise! Pia jaribu kufanya yaliyopita yamepita! Lililotokea limeshatokea kamwe huwez kubadilisha! Kunywa maji meng, mazoezi,pumzika vyakutosha

Sent using Jamii Forums mobile app
, nimeuchukua na naufanyia kazi kiongozi.

Ubarikiwe sana sana.
 
Nilikuwa na hali kama yako yaani ilikuwa inanitesa sana tena naweza sema zaidi ya yakwako...Mapigo ya moyo kwenda kasi,ganzi kwenye miguu,Kifua kuchoma hasa upande wa kushoto yaani dalili zote za mgonjwa wa moyo...
Nikaenda hospital pale regency Dar nikafanya vipi vya moyo ecg na eco ila hamna kitu,daktari akaniambia wewe ni kijana mdogo at that time nilikuwa na miaka 22 hivi akaniambia utakuwa unasumbuliwa na anxiety and it’s a psychological problem akaniambia niende kwa dr mmoja hivi anaitwa ndosi pale regency nikaenda kwa huyo dr akanipa dawa za usingizi aina dawa za kupunguza stress nikawa ninatumi,dawa zilipoisha akanipa dawa nyingine zinaitwa resperidone zile dawa kidogo zinitoe roho kwa kweli siku niliyokunywa sikulala nilihisi kufakufa nikarudi tena hospital nikamuelezea akasema nipunguze dose basi nikarudi home Sikuyu Mia tena zile dawa nikaacha,nikawa nasoma kwenye mitandao about anxiety na vitu related nayo nikapata Tiba ifuatavyo;-
Punguza vyakula vya mafuta,
Chai au kahawa acha,
Hakikisha unalala vizuri,
Fanya mazoezi,
Tumia kitu kinaitwa almonds zipo kama karanga ukienda supermarkets zipo uliza tu,
Usile vyakula vyenye pepsin kama vile soda za Pepsi na Coca-Cola na pia punguza au acha kutumia vyakula ambavyo vinatengenezwa viwandani



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nilikuwa na hali kama yako yaani ilikuwa inanitesa sana tena naweza sema zaidi ya yakwako...Mapigo ya moyo kwenda kasi,ganzi kwenye miguu,Kifua kuchoma hasa upande wa kushoto yaani dalili zote za mgonjwa wa moyo...
Nikaenda hospital pale regency Dar nikafanya vipi vya moyo ecg na eco ila hamna kitu,daktari akaniambia wewe ni kijana mdogo at that time nilikuwa na miaka 22 hivi akaniambia utakuwa unasumbuliwa na anxiety and it’s a psychological problem akaniambia niende kwa dr mmoja hivi anaitwa ndosi pale regency nikaenda kwa huyo dr akanipa dawa za usingizi aina dawa za kupunguza stress nikawa ninatumi,dawa zilipoisha akanipa dawa nyingine zinaitwa resperidone zile dawa kidogo zinitoe roho kwa kweli siku niliyokunywa sikulala nilihisi kufakufa nikarudi tena hospital nikamuelezea akasema nipunguze dose basi nikarudi home Sikuyu Mia tena zile dawa nikaacha,nikawa nasoma kwenye mitandao about anxiety na vitu related nayo nikapata Tiba ifuatavyo;-
Punguza vyakula vya mafuta,
Chai au kahawa acha,
Hakikisha unalala vizuri,
Fanya mazoezi,
Tumia kitu kinaitwa almonds zipo kama karanga ukienda supermarkets zipo uliza tu,
Usile vyakula vyenye pepsin kama vile soda za Pepsi na Coca-Cola na pia punguza au acha kutumia vyakula ambavyo vinatengenezwa viwandani



Sent from my iPhone using JamiiForums
Yah Yani hizo dawa huwa Ni Kali balaa afu ukijiendekeza kutumia ndo unakuwa addicted mi niliacha nikawa natumia za mapigo ya moyo kwenda mbio baadae nikaachana nazo na Sasa Niko pouw achana na mawazo ya kijinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yah Yani hizo dawa huwa Ni Kali balaa afu ukijiendekeza kutumia ndo unakuwa addicted mi niliacha nikawa natumia za mapigo ya moyo kwenda mbio baadae nikaachana nazo na Sasa Niko pouw achana na mawazo ya kijinga

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu Mimi nilizinywa siku moja tu yaani usiku ule nilitaka kufa ndo maana nikaacha


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nilikuwa na hali kama yako yaani ilikuwa inanitesa sana tena naweza sema zaidi ya yakwako...Mapigo ya moyo kwenda kasi,ganzi kwenye miguu,Kifua kuchoma hasa upande wa kushoto yaani dalili zote za mgonjwa wa moyo...
Nikaenda hospital pale regency Dar nikafanya vipi vya moyo ecg na eco ila hamna kitu,daktari akaniambia wewe ni kijana mdogo at that time nilikuwa na miaka 22 hivi akaniambia utakuwa unasumbuliwa na anxiety and it’s a psychological problem akaniambia niende kwa dr mmoja hivi anaitwa ndosi pale regency nikaenda kwa huyo dr akanipa dawa za usingizi aina dawa za kupunguza stress nikawa ninatumi,dawa zilipoisha akanipa dawa nyingine zinaitwa resperidone zile dawa kidogo zinitoe roho kwa kweli siku niliyokunywa sikulala nilihisi kufakufa nikarudi tena hospital nikamuelezea akasema nipunguze dose basi nikarudi home Sikuyu Mia tena zile dawa nikaacha,nikawa nasoma kwenye mitandao about anxiety na vitu related nayo nikapata Tiba ifuatavyo;-
Punguza vyakula vya mafuta,
Chai au kahawa acha,
Hakikisha unalala vizuri,
Fanya mazoezi,
Tumia kitu kinaitwa almonds zipo kama karanga ukienda supermarkets zipo uliza tu,
Usile vyakula vyenye pepsin kama vile soda za Pepsi na Coca-Cola na pia punguza au acha kutumia vyakula ambavyo vinatengenezwa viwandani



Sent from my iPhone using JamiiForums
Asante mkuu, aina zote za soda situmii, wala kahawa, wala vyakula vya viwandani, acha nijitahidi kulala vya kutosha maana hii hali ya mapigo ya moyo yakizidi hata usingizi unakuwa shida, nashukuru kuskia kuwa kuna watu wamepata na imeisha... Unanipa moyo kuwa na yangu itaisha.

Asante sana mkuu
 
sio eneo langu but I think kuna vitu specific vinavyo trigger hio hali,kwa wengine nimeona labda ukifika siku ya mtihani akiingia tu examination room anapatwa na symptoms kama zako!..sijajua kwako ni vitu gani huwa unavi experience before those anxiety experiences,..kama ni mtu/watu/past experiences/objects/situations ... kipi kinatangulia kabla ya wewe kuanza kuumwa,ukishajua una fear na nini,then you can work around it,kama ni watu/mtu jiulize kwa nini unawaogopa..kuna kitu kinaitwa exposure treatment au therapy..yaani kama unaogopa mtu then tiba ni huyo huyo mtu!,jinsi unavyokua exposed kwake ndio fear yako inapotea….sasa wewe hicho unachoogopa ndio hicho hicho cha kukifanyia kazi...small steps mpaka unakua confident hukiogopi tena..ukikiona hupatwi tena na panick….pia unaweza ku google CBT ama MINDFULNESS ni vitu vizuri ukivijua
 
sio eneo langu but I think kuna vitu specific vinavyo trigger hio hali,kwa wengine nimeona labda ukifika siku ya mtihani akiingia tu examination room anapatwa na symptoms kama zako!..sijajua kwako ni vitu gani huwa unavi experience before those anxiety experiences,..kama ni mtu/watu/past experiences/objects/situations ... kipi kinatangulia kabla ya wewe kuanza kuumwa,ukishajua una fear na nini,then you can work around it,kama ni watu/mtu jiulize kwa nini unawaogopa..kuna kitu kinaitwa exposure treatment au therapy..yaani kama unaogopa mtu then tiba ni huyo huyo mtu!,jinsi unavyokua exposed kwake ndio fear yako inapotea….sasa wewe hicho unachoogopa ndio hicho hicho cha kukifanyia kazi...small steps mpaka unakua confident hukiogopi tena..ukikiona hupatwi tena na panick….pia unaweza ku google CBT ama MINDFULNESS ni vitu vizuri ukivijua
Nishawai kwenda kwa clinical Psychologist nilipoanza kuumwa Bipolar disorder (Manic) . Alinifanyia counseling nzuri Sana. Natumia Dawa saiv na sijaumwa huu mwaka watano Sasa..Dawa zimenisaidia Sana na kazi.nafanya kama kawaida... Namshukuru Mungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu,

Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza,nimekuwa nasumbuliwa na kushtuka kwa mapigo ya moyo kwa muda kama miezi saba na zaidi, moyo unakuwa kama unaruka mapigo, au kudunda kwa nguvu kama unakita kwa nguvu fulani mara moja au mbili kisha unaendelea na mapigo yake ya kawaida. Hali hii hudumu kwa kipindi na kupotea kisha hurudia tena.

Nikiwa kwenye kutafakari hali hii nikapatwa na hali nyingine ya kupatwa na wasiwasi ghafla,tumbo kukata, Kubanwa kifua na kushindwa kupumua, kuweweseka na kukosa control na mwili kufa ganzi. Baada ya kuwaona wataalamu nikaambiwa kitaalamu inaitwa anxiety disorder na panic attacks. Hali hii imenisumbua mpaka nimeshindwa kutekeleza majukumu yangu ipasavyo. Nimefanyiwa vipimo vya moyo(ultra sound na Eco) , ini, figo na full blood picture sijaonekana na tatizo lolote.

Madaktari wameshauri niwaone wataalamu wa maswala ya saikolojia.

Nimejaribu kupambana na hii hali, lakini bado nina mshtuko wa mapigo ya moyo yananitesa sana, pamoja na kuwa na woga usioelezeka bila sababu. Huwa nina woga na hofu ambayo siijui, kila nikitafakari kuwa naogopa nini huwa sioni ninacho ogopa, lakini naogopa. Wakati mwingine nakuwa na hofu ya kufa.

Wapi nitapata wataalamu wa saikolojia? Niko Moshi Kilimanjaro.

Kama humu wapo wanishauri hapa kwenye huu uzi au pm wakuu.

Asanteni sana.
Kindly,check with me!
+255713430096

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom