Habari wapendwa. Mimi ni mwanamke mkristo wa miaka 32. Nina mtoto mmoja. Ninajitokeza jukwaani kutafuta mume kwenye Nia ya kweli.
Uwe Mkristo mwenye hofu ya Mungu
Uwe na Umri kuanzia 35-49.
Uwe na shughuli halali ya kuingiza kipato.
Karibuni Pm iko wazi.
Asanteni.
Uwe Mkristo mwenye hofu ya Mungu
Uwe na Umri kuanzia 35-49.
Uwe na shughuli halali ya kuingiza kipato.
Karibuni Pm iko wazi.
Asanteni.