I afraid, my man is not the same again

Kaka salamaleko uhali gani nakusalimia ndugu yangu unaendeleaje
 
Huyu mmama aliweka wazi kua anamcheat mumewe humuhumu jf kipindi anasoma Udsm
Kwaio itakua zishafika zile 40 zake
 
Naishi 10 Downing Street, karibu kabisa na PM wa hapa UK ila hiki kiingereza kimenitoa nishai.
 
Mwanaume wakumuabide mwanaume mwenzie ni kupoteza ubingwa.
Si kweli. Kitendo cha kukaa ndani ya Kristo Yesu ni kutangaza Ubingwa duniani na mbinguni. Ni zaidi ya ushindi. Kutarajia UPENDO kutoka kwa mtu ambaye UBINAFSI haujang'olewa na Kristo Yesu moyoni mwake ni kutarajia kuvuna Mahindi mahali palipopandwa maharage!
 
Unadeka kupitiliza kawaida ingawa sio mbaya kwa mtoto wa kike. Ruhusu utulivu mambo yatakaa powa kwa maelezo zaidi njoo PM tusolve tatizo
 
Tumuite Nesi au tufanyaje mkuu maana tukifanya upasuaji majumbani tunafukuzwa kazi na kufunguliwa mashtaka ya jinai mkuu unataka tukufanyaje? Calm down expiry slowly, okay
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…