Hysteria ya uongo!


Mimi tayari ni taasisi humu.

Sihitaji umaarufu wowote ule!
 

Hili andiko limependeza zaidi, linahitaji tuzo ya heshima.
 
Boss Nyani Ngabu Mavi ya kale ..... ??? Naongelea Mada hii. Tunajua una siku zako, Ukinywa dawa unakuwa na akili zako timamu, ukimiss tu dawa ... ni Sheeda !!!

Hujawahi kuona popote humu nikiyalaani hayo matendo maovu??

Labda hujui kusoma na kuelewa!!

Hilo ndo hitimisho pekee ninaloweza kulifikia!
 
Tofauti ya Ngosha na kikwete,Kikwete alikuwa anawangata na kuchekacheka nao,Ngosha anawangata na hakuna kuchekacheka nao wala kuwapa kikombe cha chai ikulu siunajua Wabongo tunapenda kuchekewa chekewa kinafiki tukipewa live za uso hatupendi,Magufuli wape za uso mpaka wainue mikono juu.
 
Umeandika mwenyewe hii makala??!
 
Mkuu umeongea ukweli mtupu, kwa kuongezea wengine kuna:

Profesa Mwakyusa na Dr Mvungi

Profesa Mwaikusa!!!! Huyu alikuwa wakili akimtetea mshitakiwa wa kesi ya Kimbali, alipigwa risasi nyumbani kwake na mpaka sasa sijasikia kama wahusika wamekamatwa!!!
 
Huyu jamaa
"ni kigeu geu kama kinyonga".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…