yahya jumbe
New Member
- Oct 5, 2012
- 2
- 1
Kuna bint nampenda sana lakini yeye haoneshi kunipenda mm je nifanyeje?
Kuna bint nampenda sana lakini yeye haoneshi kunipenda mm je nifanyeje?
Kuna bint nampenda sana lakini yeye haoneshi kunipenda mm je nifanyeje?
Yani hivi unavyosubiria ushauri ndivyo unavyozidi kupoteza muda...tuliza moyo then muelekeze ukweli! acha wasi wasi mwisho wa siku wajanja wachukue uanze kulalamika
Kuna bint nampenda sana lakini yeye haoneshi kunipenda mm je nifanyeje?
Hiyo Avatar yako ...Utata mtupu...
It sounds like pornographic materials!!!Mkuu hiyo inaitwa "tafakari kwanza"
we kama mimi....kuna kaka namzimia tena humu humu JF....lakini naogopa kumwambia......
we wa kwako umeshamueleza.....?