Amekufa. Wanakwenda kumfanya kitowewo.
Nyama yake hata ya kuku imesingiziwa.nasikia nyama yake taamu na lainiii....
mtamchangia kumpiga saudari au mtamchangia mandekwani akinicharukia si tutamchangia kumpiga saudari?
tutamchangia huyohuyo uliyemtaja.mtamchangia kumpiga saudari au mtamchangia mande
mhhhhhhhhhhh wewe mbona mi unanishtusha na huo ushauri wako?Hebu weka mkono wako hapo mdomoni kwake utajua kama yupo hai au kafa
Daaaaaaaahhh we jiniasi kweli umejuaje?Bodaboda mkuu
teh teh teh mimi tena lol:yo:Daaaaaaaahhh we jiniasi kweli umejuaje?