Huyu x ana nini?

Kanuni nyepesi ya mahusiano ni hii: ukiachana na mtu na umeshakubali kuwa hutaki kuendelea naye basi jiepushe naye moja kwa moja na uendelee na maisha yako. Zaidi ya hapo ni kurudi pale pale na hadithi zile zile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…