Huyu x ana nini?

Tafuta "Y"
 
Nyie mnataka kupasha kiporo . Mmeachana muda mrefu, kuna maswali ambayo si ya kuuliza maana yanakusha ya nyuma.

Ni vizur kila mtu akatulia. Zake.. la si hivyo mkiendelea.. mtakumbushia tu
 
Kipyenga cha kuanzisha boli hakijapulizwa tayari 4-0 haya ukipewa mimba uje ufungue uzi tena uulize sijui umeingiaje
 
Inawezekana kabisa jamaa kukuacha hakukusinhizia ni tabia yako
 
Mistake ulioifanya ni kuruhusu kuendelea kua na mawasiliano naye japo hamko kikaribu mawasiliano n mawasiliano tu

Unaweza ku move on completely na hata usiwe na mawasiliano na ex wako huku ukiwa huna kinyongo pia na maisha yakaenda

Achana na yeye na why akuumize kichwa?? Fine kakasirika haikua na haya ya kujali hivo mana tayar inaleta taswira halisi bado anaishi moyoni mwako

Focus na mahusiano yako mapya, achana na ex ameshakua ana example of what you shudnt have in future
 
Jibu hapo ulikuwa nalo tayari ndio maana alikuacha, hakukuwa na haja ya kumuuliza yeye
 
He is your x, what u care about? Move on bhana, anza kukaa mbali nae naona anaanza kurudi moyoni mwako, kama akikasirika unaanza kuwaza basi we utakuwa mtumwa yaani moyo wako utawatumikia mabwana wawili. Kama amekasirika we kaa kimya fanya yako ye si ndo alijileta kwako. Thamini zaidi mahusiano uliyonayo sasa maana huyo wa sasa akigundua ukaribu huu na x wako hakika atakuacha maana kukumbushia ni kitu cha dakika 1 tu hasa mkiwa eneo faragha. Muache! Angalia ulipo sasa! Fanya yako! "Aliyeshika jembe tayari kulima huku anaangalia nyuma hafai katika ufalme wa mbingu"
 

Swali lako inawezekana likawa na shida na inawezekana lisiwe na shida. Inategemeana na nyie wawili.
Ila dada shida wala sio hilo swali lako.
Shida ni kwamba, ingetakiwa ufungue uzi kama kuna issue huielewi kati yako na mpenzio wa sasa.
Hiyo tu ndo shida!
 
Matatizo ya Kuwa idle haya. Jishughulishe hata kwa kuuza karanga mtaani mkuu
 
Kuendelea kuwasiliana na ex wako ni kama kutembea na muwa kama mkongojo ipo siku utautafuna tu.....
 
Sasa hapa unataka msaada gani? We mpe tu kwani kuna shida gani kama bado una mpenda. !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…