Shilingi mbovu
JF-Expert Member
- Sep 24, 2016
- 542
- 201
Unayo pesa au pampalila
Unayo pesa au pampalila
Kama unamfahamu MONI wa centrozone yule mwenye nyimbo kama Sembe dona, kirikou, na Usimsahau mchizi ft Roma... Huyo ndio JAMAA yake asee anamkamatia na shoo anasimamia hapo.... Huyo duu amesha appear kwenye video kama vile Muziki ya darasa..Mazoea ya bill nenga bill nass na hiyo ya jamaa yake Usimsahau mchizi...
Kuwa makini bro, mjini hapa..ukiona vyaelea ujue vimeundwa
Pale Napapendaga YaaniHuyu ndio yupo kwenye video ya Fa pia asanteni kwa kuja kuna sehemu kwenye swimming anajipinda kama swala
JF balaa anaomba mwingine, anashukuru mwingine nimecheka, umeniongezea siku sio viroba tu vinaleta raha.Mkuu yaani umewahi kushukuru utadhani we ndo umeomba....
Mie mnaniacha hoi na majibu yenu nimecheka hd machozi.Ukiona hivyo shida zenu zinaendana