Bakulutu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 2,578
- 1,817
Habari, naitwa Mr. Raymond from BEAMSOFT COMPUTERS LTD Dar,
tupo kikaoni tunapitia CV tuchague candidates wa kuinterview for I.T OFFICER POST,
CV yako ni nzuri nataka kukusaidia upate hii kazi kwa terms zifuatazo,salary ni tshs 1,200,000/= kwa mwezi ukilipwa salary ya kwanza utanipa laki 3, na kabla ya saa 9 mchana uwe umetuma sh. elfu 35 by tigopesa to 0713-765442 ili nimpe mtu wa interview anipe maswali ntakutumia kwenye email, for now siwezi ongea mpaka badae nikitoka kikaoni na ndio muda huo utapigiwa simu lini uje for interview,
jitahidi utume mapema kabla ya saa 9.
tupo kikaoni tunapitia CV tuchague candidates wa kuinterview for I.T OFFICER POST,
CV yako ni nzuri nataka kukusaidia upate hii kazi kwa terms zifuatazo,salary ni tshs 1,200,000/= kwa mwezi ukilipwa salary ya kwanza utanipa laki 3, na kabla ya saa 9 mchana uwe umetuma sh. elfu 35 by tigopesa to 0713-765442 ili nimpe mtu wa interview anipe maswali ntakutumia kwenye email, for now siwezi ongea mpaka badae nikitoka kikaoni na ndio muda huo utapigiwa simu lini uje for interview,
jitahidi utume mapema kabla ya saa 9.