Mshana Jr siyo mapupu bwana site tunaitaga maini, yani mshua akidondoka nayo home, ukiulizwa leo home kuna mboga gani tunajibu maini [emoji16][emoji16][emoji16]
Haya mambo kuyajua unaitaji elimu ya mtaani tena uswazi kabisa yani uko ambako sufuria la ugari linategwa jikoni mboga hamuioni ile Dada anaanza kupika ugari unashangaa bi mkubwa kabeba bakuri kubwa anaingia kirabuni cha pombe ya kienyeji anaendq kununua maini (mapupu) tena ya mia tano unakuja nayo home anakuta ugari upo tayali, unawekwa pembeni linachukuliwa sufuria jingine yanawnza kuugwa mapupu tena nyanya zenyewe ni masalo zile nyanya zilizorainika sana ambazo zinaelekea kuharibika ukienda sokoni za shilingi mia kama umenunua za shiringi elfu moja hiyo hizo basi pupu linaugwa pale, linapigwa na pilili kwa mbali na katangawizi yani ndani ya dakika kuni na tano mnaitwa nyie njooni mle basi mnakula hapo safi mnashiba zenu safii bila shida ndio maana leo mnaona tunadunda tu hakuna kutumia Congo dust wala super shafti[emoji16][emoji16][emoji16]
Mamii john lazima ayapende maana kwenye jamii yao uko ukienda kwenye vibanda vya mama lishe hiyo ndio supu alafu bei yake sawa na bure kwaiyo atakuwa amekuwa anatumia tangu mdogo kazoea