huyu SAED KUBENEA wana JF yuko wapi?

huyu SAED KUBENEA wana JF yuko wapi?

local

Member
Joined
Jun 19, 2012
Posts
13
Reaction score
3
Nimekuwa msomaji mzuri wa gazeti la mwanahalisi, mara zote habari muhimu ilikuwa ya huyu mpiganaji-alikuwa anatoa habari critical zenye uchunguzi wa kina: Kuna kipindi waziri wa ushirikiano wa africa mashariki kupitia kipindi cha dk 45 ITV alitoa shutuma; nanukuu:

"ninasikitika vita hii ya ufisadi kuna watu walianza vizuri likini cha kushangaza sasa na wao mwameshanunuliwa na mafisadi-kwa mfano kijana wetu mzuri, makini na hodari wa kutoa habari za kuaminika kwa sasa yuko mikononi mwa mafisaji huyu ni kijana wetu KUBENEA" Mwisho wa nukuu.

Bila shaka alichokisema Samweli Sitta ndicho nachokiona sasa kwenye gazeti la mwanahalisi. Anayebisha ajaribu ku-THINK. Huwezi kukuta tena kwenye gazeti hilo habari za mafisadi na washirika wao. Gazeti lililokuwa linanunuliwa sana na watu makini kwa sasa mauzo yameshuka sana kwa gazeti hili.

NOTE: wao wanadili na kikwete tuuuuu, hata maovu ya CCM kwa ujumla wake hawauoni tena!
 
acha kupotosha uma wewe,said ni kati ya watu ambao ni wazalendo.hayo ya sita ni unafiki wake tu maana wanachi tumeshamjua yumo kwenye mradi wa kufuga mafisadi asilete unafiki.saidi yupo masomo wala hajafanywa lolote na mafisadi la kuweza kunyamaza.

said,all the best in your study,wewe ni mzalendo na unamsimamo sio kama waandishi wengine wanashindwa kulinda maadili ya taaluma yao.
 
Back
Top Bottom