Huyu roomate vipi?

Hakuna watu wabaya kama uyo jamaa hapo anakuvizia beki zako zifanye makosa tu anapiga counter attack hao tunawaita WAKORA akichiwa dakika moja lazima apige krosi 10,na siku ukiwaacha wawili ataanza na kukojolea CV yako ila mimi watu kama hao namaliza nao uso kwa uso kua nivungie mpwa yanaisha.
 
sijamtusi joh, na siwezi kumtusi au kukorofishana na mwana kisa girl but natafuta njia nzuri ya kumfikishia ujumbe ili asikwazike wala kujisikia vibaya
 
Watoto wa siku hizi balaa, badala ya kuuliza ishu za masomo au kazi wanauliza mambo ya hovyo kabisa ya kimapenzi

nishapiga necta zote unazozijua wewe (la 7 hadi form 6) nimefanya UE 5 hadi saiz nimebakiza moja tu, am 24 now i need someone beside me, ukinambia mi mtoto niwaze masomo yule form 4 utamwambiaje! kwa mda huu masomo yana nafasi yake na maisha yana nafasi yake. but nashukuru kwa ushauri wako
 
Laiti mngejua huku mtaani hao viumbe wamejaa mpaka wanamwagikia,mngezingatia shule walau kuboost GPA zenu.
 
Anapenda kuwatumbuiza kwa vibweka.Hali za uchangamfu na kutaka kuchangamsha hutofautiana kati ya mtu na mtu.Na ndiyo maana si wote tunaweza kufanya futuhi.Kama hana nia ovu mvumilie kibweka wenu mkuu.😀😀:thumbup::thumbup:
 
Kwa maelezo yako ni mkarimu mtu wa watu acha hizo shakashaka haikamati mwizi
 
kizuri unakula na nduguyo ,shida iko wapi?
 
Huyo mate wako anahaki ya kuacha kila kitu na kuwasikiliza nyie, wewe mtu anasoma wewe unamletea mwanamke wa nini? Hiyo room imekuwa guest? Kwanini usiende nae hotel au guest au sehemu nyingine yoyote yenye privacy mkakaa huko na kupiga story zetu? Mtu anasoma wewe unamletea demu, unataka afanyeje sasa na wewe umemuondoa kwenye mood ya kusoma kwa umalaya wako?
 

baada ya kuwaza mda mrefu uwezo wako ndio umeishia hapo?? tofautisha kati ya kuwa na mpenz na umalaya, na ikumbukwe hata mate wake pia mpenz wake huwa anaenda, SIO KILA ALIYE KWENYE MAHUSIANO NI MALAYA, sio unakurupuka tu kucomment kitu usichokielewa,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…