jMali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 8,412
- 5,013
Kwa anayejua naomba kufahamisha hawa mabalozi wa heshima huwa wanapatikana vipi, maana huyu bwana Robert Shumake ambaye tunaambiwa ni balozi wetu wa heshima US, naona pia ni balozi wa Botswana at the same time (http://botswanaconsulate.org/botswana-consulate/honorary-consul-of-the-republic-of-botswanna-bio/), Hii ni halali au?..halafu vigezo huwa ni vipi mbona jamaa kama chekbob fulani hivi na mie nishazoea balozi huwa mtu mzima...Anyway naomba tujadili.