Kikwete ni fisadi penda usipende. Usitufanye sisi wajinga. Mali za Ridhwani zinajulikana. Bongo ni nchi ndogo, hakuna siri. Kila kiongozi wa Tanzania lazima atajitarisha na ataitajirisha familia yake. Kuanzia Mwinyi, Mkapa, na sasa Kikwete. Na kiongozi atakayefuata naye atafanya hilo hilo. Atajineemesha yeye na familia yake. Watanzania wataendelea kutaabika.
Wacha upunguani. Hiyo TAKUKURU imepewa meno na Kikwete, walikuwa na uwezo wa kuchunguza mawaziri au mawaziri wa zamani? wakati wa Kikwete tumeona mpaka kina Mramba wakifungwa. Upo hapo ulipo.
Na wakikutikana na hatia kesi ni mahakamani. Hilo la kufikishwa tu TAKUKURU ni hatua moja nzuri sana na Serikali ya Kikwete inabidi isifiwe.
Naona una usingizi hujui hata unachoandika,Mramba kafungwa lini wakati kesi yake inapigwa danadana?kuhuisu TAKUKURU fuatilia maoni ya Mkurugenzi wa TAKUKURU kwenye tume ya katiba alisema nini kuhusu uhuru wa taasisi anyoiongoza,acha kudanganya watanzania wenzako.Tatizo mnasoma elimu ahera sana alafu mnataka madaraka.Na penye milioni 600,Maige kandanganya?kanusha.
Wewe usemae Kikwete fisadi, leta ushahidi kama hauna kaa kimya. Mali usemazo za Ridhwani leta ushahidi wacha porojo.
Nyinyi ndio wale hata nzi mkubwa mnasema wa kizungu huyo. Kushindwa kwakokimaisha utafute sababu kwa mwengine.
Jiulize walioweza wamewezaje wewe umeachwa mkiani? jibu ni simpo, ni kwa ujinga wako, ni kwa uvivu wako, ni kwa kungoja kwako ufanyiwe.
Ukweli kujulikana hata mtandaoni ni mchakato au harakati nzuri.unajua wazungu wao waona mbali sanaaa.kuzipa masharti nchi za dunia ya tatu juu ya uhuru wa kujieleza ulikuwa ni msaada tosha sana kwetu.kwani tuna utamaduni wa kusifiana kila kitu,watu wanazikwa wakiwa hai na bado wanashukuru.
PCCB kama kweli wanameno mbona kesi nyingi sana huisha kinyemela hasa zile zenye mkono wa Rais? yasemwayo kuwa dogo riz anamiriki ukwasi mkubwa na utitiri wa miradi na majumba yaotayo kama uyoga ni ya kweli kabisa! hiyo operating capital kubwa namna hii kaipata wapi? mabilioni haya kayakopa benki gani na kwa sifa zipi kama sio mgongo wa ofsi ya babayake?
we kikongwe FF acha akiri za kijuha ilewa kuwa huwatendei haki watz na usiniambie kuwa vijisenti upewavyo kwa kuwatetea hawa wadharimu watakula hadi vitukuu vyako!
Kikwete na ridhiwani ni mafisadi papa, na lowassa anawatamani kweli kweli. Ngoja apate cheo chake 2015 ndiyo mtamjua.
Wewe usemae Kikwete fisadi, leta ushahidi kama hauna kaa kimya. Mali usemazo za Ridhwani leta ushahidi wacha porojo.
Nyinyi ndio wale hata nzi mkubwa mnasema wa kizungu huyo. Kushindwa kwakokimaisha utafute sababu kwa mwengine.
Jiulize walioweza wamewezaje wewe umeachwa mkiani? jibu ni simpo, ni kwa ujinga wako, ni kwa uvivu wako, ni kwa kungoja kwako ufanyiwe.
Watanzania wajinga kweli, zamani ilikuwa kila kitu kikubwa ni cha "kizungu", sasa kwa ule ule umbumbumbu ni cha "Rais" au "mtoto wa Rais".
Hivi kwa upuuzi kama huu mnategemea mtaendelea? mimi nasema "mawee".
Badala ya kutwa kukaa kusifia vya wanaume wenzenu na nyinyi ingieni wivu wa kufanya si kusengenya, wasengenyaji wakubwa nyie.
Watanzania wajinga kweli, zamani ilikuwa kila kitu kikubwa ni cha "kizungu", sasa kwa ule ule umbumbumbu ni cha "Rais" au "mtoto wa Rais".
Hivi kwa upuuzi kama huu mnategemea mtaendelea? mimi nasema "mawee".
Badala ya kutwa kukaa kusifia vya wanaume wenzenu na nyinyi ingieni wivu wa kufanya si kusengenya, wasengenyaji wakubwa nyie.
Fikra finyu.
Lowassa na Kikwete hawajajuana mitaani.
Wewe unaleta post ya kujua mwanaume mwenzako halafu iweje sijui unamuuongelea ridhi yupi wa mama said au yule wa kidinda kwanza jengo lipi unaloongelee stand ya somanda au bariadi mjini hebu dadavua kwanza ueleweke.
Toka Kikwete kaanzisha TAKUKURU tunaona kesi nyingi za rushwa kuliko wakati wowote ule mahakamani, tumeona mawaziri na waliokuwa mawaziri wakifikishwa mahakamani. Uliyaona hayo kabla ya TAKUKURU.
Usisahahu ni nani aliyoianzisha TAKUKURU na usisahau ni nani aliyoipa meno, na bado meno hayatoshi na inaendelea kuboreshwa. Usifikiri taasisi kama hiyo inaanzishwa leo na kuwa na sheria zote mikononi mwake leo, uozo uliokuwepo kwa miaka 44 kabla ya Kikwete si rahisi kutatua kwa siku moja. Lakini kazi zake na mafanikio yake wenye macho tunayaona:
Statistics as from 2005 to October 2013 translate as follows:
Source: Case Statistics
- 49,853 Allegations were received since 2005 to OctoberNot all the allegations being reported are related to corruption.
- Number of administrative actions taken against public servants proven to be inclined to take bribes and other corrupt behavior since 2005 to October 2013 is 816 Public Servants.
- Number of new cases filed into courts since the new Act (PCCA, 2007) became operational are 1,557 cases.
- Number of convictions against corrupt offenders in courts since 2005 to October 2013 are 378.
- Money recovered by PCCB for the period 2005 to October 2013 is to the tune of Tshs. 47,686,737,345/= Billions.
Uliyaona hayo kabla ya Kikwete?
Wacha upunguani. Hiyo TAKUKURU imepewa meno na Kikwete, walikuwa na uwezo wa kuchunguza mawaziri au mawaziri wa zamani? wakati wa Kikwete tumeona mpaka kina Mramba wakifungwa. Upo hapo ulipo.
Na wakikutikana na hatia kesi ni mahakamani. Hilo la kufikishwa tu TAKUKURU ni hatua moja nzuri sana na Serikali ya Kikwete inabidi isifiwe.
Watanzania wajinga kweli, zamani ilikuwa kila kitu kikubwa ni cha "kizungu", sasa kwa ule ule umbumbumbu ni cha "Rais" au "mtoto wa Rais".
Hivi kwa upuuzi kama huu mnategemea mtaendelea? mimi nasema "mawee".
Badala ya kutwa kukaa kusifia vya wanaume wenzenu na nyinyi ingieni wivu wa kufanya si kusengenya, wasengenyaji wakubwa nyie.