Kerosine Bal
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 247
- 231
We KAMBAYA huyu jamaa anayeonekana kwe video clip anaingia kwe mkutano wa CUF na kuanza kupiga watu si ndo huyu aliyesagwa na raia wema? Na ni mfuasi wa pro.
Sasa unatuambiaje eti waliovamia ni vijana wa CHADEMA?
Nimechukua siku kadhaa kujiridhisha kabla sijakurupuka kuwalaumu CHADEMA. Kumbe mchezo wa kwenu tuu.
Mi ni kada mzuri wa chama chetu ccm kwa hapa duuuu puuuu....fu sn. Mchezo nimeusoma.
Sasa unatuambiaje eti waliovamia ni vijana wa CHADEMA?
Nimechukua siku kadhaa kujiridhisha kabla sijakurupuka kuwalaumu CHADEMA. Kumbe mchezo wa kwenu tuu.
Mi ni kada mzuri wa chama chetu ccm kwa hapa duuuu puuuu....fu sn. Mchezo nimeusoma.