Heron
JF-Expert Member
- Oct 4, 2013
- 1,947
- 1,797
ALLAH amuhifadhi hamida,ila kinachokuja kunishangaza ni kuwa jamaa hatauawa ila atafungwa maisha,ajabu saana
Mtu akiua naye auwawe tena hadharan ili iwe fundisho,tena mnaingia gharama za kumhudumia maisha yote muuaji?
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Mtu akiua naye auwawe tena hadharan ili iwe fundisho,tena mnaingia gharama za kumhudumia maisha yote muuaji?
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums