Huyu ndiye Waziri (Sijui kama bado Waziri) katika serikali yetu. Dowans, matokeo mabaya ya F4 na matatizo kibao ya nchi, lakini jamaa anahangaika na vibinti. Hata kama ni muda wake binafsi na hata kama ni maisha yake binafsi nadhani huu sio muda mwafaka kwani kuna kilio kila mahala kutoka kwa wananchi wa nchi hii. Shame!!!!!