Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 4,489
- 6,883
Hii video naona imewaningia vilivyo UKIWA wanaishia kuporomosha matusi tu, sasa ndo yanasaidia nn? Hahahaah hatari sana
Eti huyu ndiyo anataka kuwa Raisi wa JMTZ!
Kashondwa kujua machungu ya watu wa munduli tu anatajua machungu ya wtz wote?
Hafai kabisa kuwa rais wa Taifa hili. Ikulu sio ICU bhana. #HapaKaziTu CHAGUA MAGUFULI.