Huyu ndiyo Lowasa, Jionee Mwenyewe!

Huyu ndiyo Lowasa, Jionee Mwenyewe!

je wewe mzima? lakini wapo wanajeshi wengi wagonjwa hata lowasa anayo nafuu.
 
Mwaka huu mtakufa njaa,
maana mwisho wa udanganyifu
ni oktoba 25,msipojifunza kulima na kuishi kwa kutoa jasho
mtakula jeuri yenu
 
Una maana gani,kwamba nawewe ni mzima kwa asilimia mia,huyo na alie anguka mbele ya watu nani bora,jiangalie wewe mama yako baba yako dada zako na ndugu wengie uchukue video uipost tuangalie
 
Huyu si ndiye atakuwa amirijeshi mkuu!! Parade atakaguaje huyu!!!!
 
Lowasa nakupenda sana baba yangu kura yangu na majembe yangu yote tunakupa wewe na mtaa wetu tumeamua ni wewe hata ukiwa mahututi kura yangu nakupa, kwenye majungu wacha waendelee kupiga pushups ikulu wataisikia kwenye runinga zao, viva Lowasa viva Tanzania
 
Umekalia kuedit kasoro za afya kwa wenzako haya kama weww so binadamu sisi OK
 
Back
Top Bottom