Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 46,931
- 122,196
Ebu tuchukulie kama ni Dua la kuku, lakini Historia itakuwepo tu utake usitakeNi povu ama dua la kuku?
Ebu tuchukulie kama ni Dua la kuku, lakini Historia itakuwepo tu utake usitakeNi povu ama dua la kuku?
Ninakupa sifa mkuu..kwa kuonyesha ustarabu wa hali ya juu!..Angekuwa mwingine..moto ungewaka..na ban juu!..umeutendea haki u GT wako!..salute!
Ukipigwa kushoto geuza na kulia!!!ahsante sana kaka kwa hili!!!!am humbled!!!
Duh!!!Nilisahau diamond kamla hadi Lulu ujue...sema kimya kimya si unajua Lulu mtu wa kimya kimya...kamla!!nakumbuka
Ulipotelea wapi mdogo wangu mieMaisha ni kuchagua
Nimeponea chupu chupu maana nilikuwa GymUlipotelea wapi mdogo wangu mie
Hahahahaa umeanza lini kwenda gymNimeponea chupu chupu maana nilikuwa Gym
Nataka niongeze pafomansi maana imelalamikiwa sana.Hahahahaa umeanza lini kwenda gym
AISEEWaaangalie kusiwe na mtandao wao wa umeme,maana mtandao wakina banza stone tuna wasubir wawili
Ooh! Kama ni hvyo jitahidi bwana usije gongewa bure maana wadada wa siku hz hawaishi visababuNataka niongeze pafomansi maana imelalamikiwa sana.
Nimeanza muda si mrefu tu
Kapicha pleaseHapo kwa Kimnana pamenivutia..
Nimekumbuka kuna kipindi aliwahi kutusongea Ugali tukala na mbuzi pale Sinza (aliwahi kuishi Manyara Hotel).. Hata jina la Kimnana alijipachika kutoka kwa binti fulani hivi amecheza tamthiliya ya Kikorea inaitwa City Hunter kama sikosei..
Nilijua ipo siku na yeye atakuwa dada wa mjini. Stori zake tu.
Hapo sawa ngoja nijitahidiOoh! Kama ni hvyo jitahidi bwana usije gongewa bure maana wadada wa siku hz hawaishi visababu
Kule huwa ninacomnent kwa ndugu na marafiki tu, udakulicious ninasoma quietlyMimi ig sipo nko jf n twitter tu
Status!Kabisaa yaani anawala kama wotee
Usiache mbachaooo???Hapo tatizo sio huyo jamaa,_tatizo ni hao wanaokubali kuliwa wakati wakijua ni shemeji shemeji,,,
pia vera kamsahau 😁😁Huwa siamini kama Aunty alitoka na mond.
Naona ujamtaja Wolper hapo!!
Hako ka Kimnana kana body kalii