emmanuel chemponda
Member
- Aug 6, 2017
- 24
- 8
Huyu jamaa ana shetani la mapenzi ila anatumia kondomu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
angezaa?Huyu jamaa ana shetani la mapenzi ila anatumia kondomu?
Ohoooo!!!noma sana.Unadhani Diamond anafanya umalaya kwa bahati mbaya?... anachofanya ni kusambaza shoti za umeme .... Siku watu wakimshtukia ni kilio nchi nzima
Duh!!!Wasanii wa bongo hawavai chupi. Wakiinua dela, ni uroda tu!
Hivi kumbe hakuna moto enh !!.nani kakudanganya kuna moto?
Tumewaza pamojaHapo tatizo sio huyo jamaa,_tatizo ni hao wanaokubali kuliwa wakati wakijua ni shemeji shemeji,,,
Hata mimi huwa napata mashaka. Wolper kamsahau hii ndio kweliHuwa siamini kama Aunty alitoka na mond.
Naona ujamtaja Wolper hapo!!
Hako ka Kimnana kana body kalii
Nilijua macho yangu mabovuNmezoea kumuona anakula wazuri wazuri, kwa kimnana naona diamond kashuka kwenye range kapanda starlet huyo Dada bila editing mmh....
weka pichaNgoja nipunguze stress za kupotea Mo dewji (nampenda sana huyu jamaa)na kuuguza miye humu jf
Aliachwa Aunty,Akala Wema mahaba yakawa km yotee wakagombana akaenda kutoka na jokate enzi hizo Wema na jokate mashosti,ushosti ukaisha....mpk akaenda kumchamba Jokate kwa Zamaradi Wema alienda na Uwoya siku hyooo...
Akamtema Jokate akarudi kwa Wema tena akamla Uwoya mpk shigongo akawapiga picha za hotel waliyolala...Ushoga ukafa kati ya Wema na Uwoya...
Mondi akaona haitoshi akamuacha Wema akaja kumla Penny ambae na Wema walikua wanavaa Sare sare ushosti kama wote..ndio enzi hizo IG inaanza Penny ndo binti wa kwanza kutukanwa kwenye mitandao ya kijamii kama sikosei kwa sababu ya bwana na ndo mambo ya team yakaanza wakaachana mondi akarudi kwa Wema tena walienda kurudiana Chinaaa picha zikavujaa...Penny akaumacha mondi ...mwishowe sasa ushoga ukafa....!!!!
Alivyoachana na Wema akaja kwa Zari
Kwa Zari akamla Huddah,huddah na Zari ushoga ukafa...huku anamla hamissa,officiallylin na tunda(japo hawana ushoga na Zari)
Zari kamtema akawa na Hamissa kw hamissa katemwa anamla shoga ake hamissa anaitwa kimnana... Kimnana ndo shemela mpya kwa diamond kwa sasa na familia yaonekana imempitisha rasmi!!!!!
Sijajua anaonaga nini kwa mashemeji zake mpk awe anawala jamaniii!!!
Haya sasa nasubiri team sasa zianze matusi!!!
Huyu si chakula ya madame auBado kuliwa Diana kimary si shoga wa kimnana yule
umeshawahi kuuona huo moto?... hizo ni habari za uongo tuHivi kumbe hakuna moto enh !!.
basi jiachie mwana jiachie,yaani mpaka zikutie kikwapa cha papuchi papuchi,
Kiukweli mwanamke ndo huwa anatula, make sisi zetu ndo zinamezwa, sijui mamlaka ya Kusema "tunawatafuna" tunaitoa wapi!Mbona Aunty nae kamla Iyobo ambae ni mshkaji wa Diamond?!
Dem mbovu ashukuru sana make up na filtersNilijua macho yangu mabovu
Domo lake kama wale katuni wa Chai jabaDem mbovu ashukuru sana make up na filters
Anapozi kama za hamisa sijui nani anacopy kwa mwenzieDomo lake kama wale katuni wa Chai jaba