Huyu ndiye rais

Ubora

JF-Expert Member
Sep 27, 2015
664
255
Huyu ndiye rais



"Nataka ndugu zangu waaendelee na majukumu yao, mke wangu aachwe akafundishe, wanangu waendelee na mambo yao! Jukumu lao kubwa ni kuniombea kwa Mungu ili nikawatumikie Watanzania kwa moyo wa dhati bila kiburi na majivuno".- JOHN POMBE MAGUFULI
 

Nyerere Karudi Asante MUNGU
 
Magufuli ni rais wa wanandondi? na waogeleaji kuelekea kigamboni? majivuni na ujeuri ndiyo hasa yaliyo mkosesha, kiburi si maungwana jibu atalipata 25Oct
 
ELIMU X 3. Hilo la Maguful kufanya kampeni peke yake bila kusapotiwa na mke wake kujua kama kuna tatizo ndani ya familia yake halihitaji elimu ya darasani, ila kwa nyie wapenzi wa JPM itawachukua muda sana kulitambua hilo.

Niliona kwenye CV yake sehemu ya familia imeandikwa; 'AMEOA NA ANA WATOTO KADHAA.' Kwa hakika hapo kwa watoto sikuelewa vizuri KADHAA inawakilisha nini hasa.
 

Huyu ndo kura yangu Magufuri
 

Najivunia john pombe magufuli
Hakika rais tumempata
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…