Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haswaaaa,maneno kuntuu
Ndio maana analiepuka hilo tatizo.SIO SAWA kuna tatizo hapo , kama hamlioni niwaambie..
hapo sawa
Huyu ndiye rais
"Nataka ndugu zangu waaendelee na majukumu yao,mke wangu aachwe akafundishe,wanangu waendelee na mambo yao!Jukumu lao kubwa ni kuniombea kwa mungu ili nikawatumikie watanzania kwa moyo wa dhati bila kiburi na majivuno".- JOHN POMBE MAGUFULI
Huyu ndiye rais
"Nataka ndugu zangu waaendelee na majukumu yao,mke wangu aachwe akafundishe,wanangu waendelee na mambo yao!Jukumu lao kubwa ni kuniombea kwa mungu ili nikawatumikie watanzania kwa moyo wa dhati bila kiburi na majivuno".- JOHN POMBE MAGUFULI
hapo sawa
Huyu ndiye rais
View attachment 293621
"Nataka ndugu zangu waaendelee na majukumu yao, mke wangu aachwe akafundishe, wanangu waendelee na mambo yao! Jukumu lao kubwa ni kuniombea kwa Mungu ili nikawatumikie Watanzania kwa moyo wa dhati bila kiburi na majivuno".- JOHN POMBE MAGUFULI
ELIMU X 3. Hilo la Maguful kufanya kampeni peke yake bila kusapotiwa na mke wake kujua kama kuna tatizo ndani ya familia yake halihitaji elimu ya darasani, ila kwa nyie wapenzi wa JPM itawachukua muda sana kulitambua hilo.
Huyu ndiye rais
View attachment 293621
"Nataka ndugu zangu waaendelee na majukumu yao, mke wangu aachwe akafundishe, wanangu waendelee na mambo yao! Jukumu lao kubwa ni kuniombea kwa Mungu ili nikawatumikie Watanzania kwa moyo wa dhati bila kiburi na majivuno".- JOHN POMBE MAGUFULI
Huyu ndiye rais
View attachment 293621
"Nataka ndugu zangu waaendelee na majukumu yao, mke wangu aachwe akafundishe, wanangu waendelee na mambo yao! Jukumu lao kubwa ni kuniombea kwa Mungu ili nikawatumikie Watanzania kwa moyo wa dhati bila kiburi na majivuno".- JOHN POMBE MAGUFULI